Tag: trending videos

1 82 83 84 85 86 123 840 / 1230 POSTS
 Bunge lampa Makamba siku 6 

 Bunge lampa Makamba siku 6 

Wabunge wameitaka serikali kuja na mkakati wa dharura wa kunusuru kupanda kwa bei ya mafuta, huku wengine wao wakitaka kupunguzwa kwa baadhi ya tozo k [...]
Vijana wamvamia bibi, wamng’oa ndonya

Vijana wamvamia bibi, wamng’oa ndonya

Vijana wanne katika kijiji cha Namangale walikamwatwa kwa kosa la kumvamia bibi kizee mwenye umri wa miaka 83 na kumng’oa ndonya yake mdomoni kwa leng [...]
Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah

Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba ameendelea kupigania penzi lake kwa kinda kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kw [...]
Aingizwa mochwari akiwa hai

Aingizwa mochwari akiwa hai

Mzee mmoja raia wa China aokolewa na mhudumu wa mochwari baada ya kupelekwa kwenye chumba hicho cha kuhifadhia maiti akiwa hai. Baada ya kupokea mf [...]
Usilolijua kuhusu kondomu

Usilolijua kuhusu kondomu

Njia za uzazi wa mpango husaidia kuzuia mimba. Hii ina maana kutumia kondomu kimsingi ni njia ya kudhibiti uzazi. Hata hivyo, ingawa udhibiti wa uzazi [...]
Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Wiz Khalifa aponzwa na bangi

Kwa wafuatiliaji na wadau mbalimbali wa tasnia ya mitindo duniani, tukio la Met Gala, sio kitu kigeni masikioni kwao. Ukubwa wa tukio hili unafananish [...]
Huduma za Twitter kulipiwa

Huduma za Twitter kulipiwa

Bilionea Elon Musk ambaye ndiyo mmiliki wa mtandao wa Twitter ameshikilia msimamo wake wa kuleta mabadiliko kwenye mtandao huo ikiwemo kulipia huduma [...]
Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji

Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji

Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya Mohamed Enterprises (MeTL) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na mwekezaji wa klabu ya Simba , Mohamed Dewji ameshauri [...]
Nchi zilizopandisha mishahara

Nchi zilizopandisha mishahara

Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti. [...]
CCM yatoa pongezi kwa wafanyakazi

CCM yatoa pongezi kwa wafanyakazi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa wafanyakazi wote nchi kwa kuunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuongeza mishahara yao, kaul [...]
1 82 83 84 85 86 123 840 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!