3000onon
HABARI
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wananchi wa Kibaigwa, Wilaya ya Kongwa, amekumbusha utekeleza [...]
HABARI
Fahamu majina ya waliotoka Chadema na kulamba teuzi CCM
Watano kati ya 19 waliokuwa wabunge Chadema wateuliwa CCM Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imewateua miongoni mwa waliokuwa wabunge 19 wa [...]
Madai ya Polepole yakanushwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wa uchaguzi unaotumika na Tume hiyo umeunganishwa na mfumo wa Mamlaka ya [...]
TARURA yajenga madaraja 439 ya mawe, yaokoa Sh bilioni 75
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) umesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, wamefanikiwa kujenga jumla ya madaraja 439 ya mawe yenye thamani [...]
TRC kumwaga ajira 2,460 SGR
Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya Kutoka Dar e [...]
Ukomo wa gharama mgombea urais bilioni 9, ubunge milioni 136
Ofisi ya Msajili ya Vyama vya Siasa imesema wagombea urais wamewekewa ukomo wa kutumia Sh bilioni tisa kugharamia uchaguzi.
Mkuu wa Kitengo cha She [...]
Agosti 21 na 23 kujulikana hatma ya watia nia Ubunge CCM
Hatimaye mbivu na mbichi kuhusu nani atapewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kwa nafasi ya ubunge iwe wa kuchaguliwa au vi [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Tuzo ya Heshima ya Maji
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima ya Maji ‘Presidential Global Water Changemakers Awards 2025’ iliyotolewa na Global Water P [...]
Fahamu Maeneo Maalumu ya Kiuchumi yaliyozinduliwa na Serikali
Serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imezindua rasmi Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (SEZs) yenye lengo la [...]
Waziri Mkuu akagua mabasi, miundombinu ya mradi wa BRT Awamu ya Pili
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Agosti 13, 2025 amekagua mabasi mapya kwa ajili ya awamu ya pili mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT-2) pamoja n [...]
Shilingi bilioni 86.31 zakusanywa siku ya kwanza ya Harambee ya CCM
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekusanya zaidi ya Sh bilioni 86.31 katika siku ya kwanza ya kampeni yake ya kuchangishana inayolenga kukusanya Sh bilioni [...]
CCM yazindua Harambee ya kuchagia fedha kwa ajili ya kampeni
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi harambee ya kitaifa kwa lengo la kuchangia fedha za kufanikisha kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 [...]
Rais Samia azindua mwelekeo mpya wa kilimo katika Maadhimisho ya Nanenane Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka wazi dhamira ya Serikali ya kuendeleza mageuzi makubwa katika sekta ya [...]