HABARI
Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali yake itaanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege eneo la Kyabajwa, wilayani Mise [...]
HABARI
Uzalishaji wa umeme kuongezeka mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ujio wa mashine nyingine
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechukua hatua za dharura kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme katika mikoa ya Mtwara na Lindi, kufuat [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]
Tanzania na China zaendelea kuimarisha ushirikiano wa uwili
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel W. Shelukindo amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China [...]
Mahakama yaamuru Mpina kurudi kuwania nafasi ya urais
Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, imeamuru mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, aruhusiwe kuendelea na mchakato wa kurejesha fomu ya kugombea Ur [...]
Zaidi ya dola bilioni 2 zinahitajika kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika
Pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Tabianchi jijini Addis Ababa, Ethiopia, viongozi na wadau mbalimba [...]
Afrika kupatiwa fedha za Mabadiliko ya Tabianchi ni ishara ya usawa katika majukumu ya Kimataifa na si msaada wa huruma
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amesisitiza kuwa si sawa kwa Afrika kushurutisha nchi zilizoendelea [...]
Ahadi za Rais Dkt. Samia zawagusa wakulima na wafugaji Igunga
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan amenadi sera na ahad [...]
Fahamu sababu zilizotajwa na Prof Kabudi na Tulia za Oktoba kutiki Dkt. Samia
Profesa Palamagamba Kabudi na Spika Dk Tulia Ackson wamebainisha sababu za wananchi kumuamini Rais Samia Suluhu Hassan na kumpa kura za kishindo katik [...]
Bilioni 2 zakamilisha mradi wa maji Mbogwe
WAKALA wa Maji na Usafi Mazingira vijijini (RUWASA) wilayani Mbogwe imekamilisha mradi mkubwa wa maji uliopo katika eneo la Ushirika-Mlale ambao ulian [...]
Vituo 50 vya kuhifadhia parachichi kujengwa nchini
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mbeya [...]
Samia aahidi maendeleo ya kasi Mbalizi
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ameendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa ya kuongoza tena nchi kwa [...]
Samia aipatia Kongwa maendeleo
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wananchi wa Kibaigwa, Wilaya ya Kongwa, amekumbusha utekeleza [...]