HABARI
Serikali imetangaza kufungua fursa za ajira kwa vijana kupitia uwekezaji katika Sekta ya Viwanda na biashara, ikilenga kuanzisha na kuendeleza viw [...]
HABARI
Tusitoke kwenye mstari, Tanzania inapaa kimaendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan Ameandika Historia Mpya ya Maendeleo, tumuunge mkono
Na GULATONE MASIGA
Tanzania imethibitisha kwamba inapoongozwa kwa [...]

Wananchi wasilisheni taarifa za vurugu za Oktoba 29
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeanza rasmi kazi zake.
Tume hiyo [...]
Rais Samia Suluhu amlilia Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mha [...]
Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko
Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro.
[...]

Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania
MIKAKATI YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI
1. Itaanzisha Kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana (Youth Investors Resource Centre).
2 [...]
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia
Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka ku [...]
Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kulikuwa na jaribio la kuipindua nchi na kuondoa dola iliyopo madarakani katika maandamano yaliyofanyika siku ya Ucha [...]
Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani
Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi mae [...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza
Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran.
Akiongea mara baada ya k [...]
Rais Samia: Polisi acheni kumtafuta Askofu Gwajima
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama w [...]
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
[...]
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta wafikia asilimia 33.57
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta unaojengwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefikia asi [...]

