HABARI
Mabasi mapya na ya kisasa 49 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) yamewasili nchini yakiwa ya hadhi ya kimataifa.
Mabasi hayo ya Golden Dragon [...]
HABARI
Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5
Serikali imetangaza kuongezeka kwa manunuzi ya huduma na bidhaa kwa kampuni za kitanzania kwenye migodi inayomilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 n [...]

Ajira 10,000 za zalishwa katika Mradi wa EACOP
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Uganda hadi Tanzania umezalisha zaid [...]
Raia 32 wa Cuba wafariki katika shambulizi la Marekani nchini Venezuela
Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuela mapema Jumamosi asub [...]

Tanzania yavutia uwekezaji wa shilingi trilioni 26.95 kwa mwaka 2025
Tanzania imeendelea kujijenga kama kitovu cha uwekezaji barani Afrika, jambo linalodhihirishwa na kuvutia uwekezaji wa nje wenye thamani ya TZS trilio [...]
CNN Travel Yaitaja Arusha na Hifadhi ya Taifa ya Arusha Kati ya Maeneo Bora ya Kutembelea Duniani Mwaka 2026
Hifadhi ya Taifa ya Arusha, iliyopo jijini Arusha, Tanzania, imetajwa na CNN Travel katika makala yao ya hivi karibuni iliyochapishwa tarehe 31 Desemb [...]
Safari SGR zarejea rasmi
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza kurejesha safari kutoka Dar es Salaam - [...]
Viwanda kutoa ajira milioni 6 kwa vijana
Serikali imetangaza kufungua fursa za ajira kwa vijana kupitia uwekezaji katika Sekta ya Viwanda na biashara, ikilenga kuanzisha na kuendeleza viw [...]
Bima ya Afya kwa Wote Mambo Safi
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuzinduliwa Januari mwakani.
Aidha, Dk. Mwigulu, amezitaka hospitali z [...]
Taarifa Rasmi kuhusu Tanzania Kuwekwa katika Kundi la Vikwazo vya Kuingia nchini Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuufahamisha umma kuwa Ser [...]
Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Per [...]
Tusitoke kwenye mstari, Tanzania inapaa kimaendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan Ameandika Historia Mpya ya Maendeleo, tumuunge mkono
Na GULATONE MASIGA
Tanzania imethibitisha kwamba inapoongozwa kwa [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025
√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo
Na GULATONE MASIGA
Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]

