Category: Kitaifa
Makamu wa Rais afanya ziara ya kushtukiza Mto Ng’ombe, Tandale
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, amefanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Mto Ng’ombe, Tandale, Dar es Salaam, kukagua hali ya usafi wa mazingi [...]
DCI akataa kutoa ushahidi kesi ya Lissu
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Ramadhani Kingai, amekataa kutoa ushahidi mahakama katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa [...]
Mkuu wa Mkoa Geita aagiza V8 ya Mkurugenzi itumike kubeba wagonjwa
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Alexander Mnyeti, ameagiza gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, aina ya Toyota Land Cruiser V8, litumike kubeb [...]
Kesi ya Lissu yashindwa kuendelea, mashahidi wapo nje ya nchi
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antiphas Lissu imeshindwa kuendelea leo leo Jumatano kuto [...]
Tanzania yapiga hatua matibabu ya saratani, yalenga kuwa kitovu cha tiba Afrika
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, amesema Tanzania inalenga kuwa kitovu cha utaalamu na mafunzo ya tiba ya saratani kwa nchi za Kusini mwa Jangwa l [...]
Polisi: Kijana aliyekuwa akilumbana na askari alikuwa amelewa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana aliyejitambulisha kwa jina la P [...]
Rais Mwinyi aunda Kamati ya watu 10 kusimamia mazungumzo ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameteua kamati ya pamoja ya watu 10 kusimamia mazungumzo ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kati [...]
Ndejembi: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na El Niño
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazo [...]
Hiari ahukumiwa miaka 30 jela kwa kukutwa na bangi
Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imemhukumu Hiari Juma Salumu kifungo cha miaka thelathini jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujihusi [...]

