Category: Kitaifa

1 2 3 170 10 / 1696 POSTS
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,082

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,082

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,082 mambpo kati yao wafungwa 29 wameachiliwa huru leo Aprili 26,2024, wafungwa 20 waliohukumiwa [...]
Rais Samia: tudumishe muungani wetu

Rais Samia: tudumishe muungani wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehutubutia taifa kuhusu miaka 60 ya Muungano huku akisisitiza katika kudumish [...]
Rais Samia: tuwaenzi waasisi wetu kwa vitendo

Rais Samia: tuwaenzi waasisi wetu kwa vitendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa watanzania wote kuenzi kwa vitendo muungano ulioanzishwa na waa [...]
Rais Samia awakaribisha Waturuki kuwekeza nchini

Rais Samia awakaribisha Waturuki kuwekeza nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji wa Uturuki kuwekeza nchini Tanzani [...]
Fahamu mambo atakayofanya Rais Samia Uturuki

Fahamu mambo atakayofanya Rais Samia Uturuki

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kuanzia leo Aprili 17 hadi 20, 2024 kufuatia mwaliko wa Rais wa [...]
Serikali yatoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya huduma za afya kwa waathirika wa mafuriko

Serikali yatoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya huduma za afya kwa waathirika wa mafuriko

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi 216, 715, 516 kwa ajili ya kuhudumia wahanga wa mafuriko waliokus [...]
Rais Samia: Nawatakia kheri ya Sikukuu ya Eid al- Fitr

Rais Samia: Nawatakia kheri ya Sikukuu ya Eid al- Fitr

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania wote kuendelee kudumisha haki, umoja ,amani na mshikamano kwenye Sikukuu ya Eid al -Fitr. Kupitia kuras [...]
Mange Kimambi amepotea njia

Mange Kimambi amepotea njia

Na Isaya Mdego, safarini Marekani. Jana na usiku wa kuamkia leo Mange Kimambi amechapisha maandiko mawili ya kumtukana Rais Samia Suluhu. Wako wali [...]
Sh. milioni 150 zatengwa kujenga barabara korofi Iringa

Sh. milioni 150 zatengwa kujenga barabara korofi Iringa

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Zainabu Katimba amesema serikali imeshaanza kujenga barabara korofi ya Ilula Image na Ibumu mkoani Iringa . Ak [...]
Tanzania na Uingereza kuendeleza ushirikiano sekta za kiuchumi

Tanzania na Uingereza kuendeleza ushirikiano sekta za kiuchumi

Serikali ya Tanzania na Uingereza zimesaini Makubaliano ya Kukuza Ushirikiano (Mutual Prosperity Partnership) yanayolenga kuchochea maendeleo katika s [...]
1 2 3 170 10 / 1696 POSTS
error: Content is protected !!