Category: Kitaifa
Walimu sita washikiliwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Mara
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia walimu sita wa shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa kidato ch [...]
Watu watatu washikiliwa kwa utekaji na mauaji ya mtoto Simiyu
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia Yumba Mayala (22), Zakayo Shija (28) na Seba Buchenja (30) wote wakazi wa Malampaka kwa tuhuma za mauaji [...]
Watu saba wafikishwa Mahakamani tuhuma za wizi wa magari ya bandarini
Watu saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuiba magari mawili yaliyokuwa yakisafiri [...]
Atafutwa kwa mauaji ya mama na mtoto Morogoro
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamtafuta Anderson Jackson kwa tuhuma za mauaji ya Asha Lukonge (38) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Muoso, Kijiji [...]
Bodaboda kupatiwa utambulisho maalum kufuatia uhalifu wa vishandu
Kufuatia wimbi la uhalifu unaofanywa na watu kwa kutumia pikipiki maarufu kama “vishandu,” Jeshi la Polisi mkoani Tanga limesema linapanga kuweka utam [...]
Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
Akiri kuua baba na mama yake mdogo akiwatuhumu kwa uchawi Njombe
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Jacktani Mgeni (31) kwa tuhuma za mauaji ya Alfred Mgeni (65) na mke wake Betes Msigara (55) wote wakazi w [...]
Rais Samia: Wananchi tunzeni miradi inayotekelezwa na serikali
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo mengine kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali, akisisitiza kuwa mi [...]
Polisi kuchunguza kifo cha kijana aliyekamatwa Ngorongoro
Polisi Mkoa wa Arusha wanaendelea kuchunguza mazingira yaliyosababisha kifo cha Sefu Mussa (25) na kujeruhiwa kwa Salimu Haji maarufu Chambega, baada [...]

