Category: Kitaifa
Maandalizi ya Ujenzi wa Bwawa la Farkwa yashika kasi
Serikali ipo katika hatua za awali za ujenzi wa bwawa la Farkwa, mkoani Dodoma.
Wizara ya Maji kupitia Programu ya Uhimilivu dhidi ya Mabadiliko ya [...]
Ujenzi wa Daraja la Jangwani wafikia asilimia 34
Serikali inaendelea na ujenzi wa Daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam, mradi unaolenga kutatua tatizo la muda mrefu la mafuriko ambalo limekuwa lik [...]
Sh bilioni 200 zatengwa kwa ajili ya vijana
Serikali imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu ya Kitaifa ya Uwezeshaji Vijana Kiuchumi, hatua inayolenga kuongeza fursa za aji [...]
Kodi mpya kwa mafuta ghafi ya kula yanayoingizwa nchini
Serikali imependekeza kuanza kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 kwa mafuta ghafi ya kula ya aina mbalimbali yanayoingizwa nchini, ikiwemo mafuta [...]
Rais Samia haendi nje kutafuta misaada, anatafuta fursa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa ziara za Rais Samia Suluhu Hassan katika mataifa mbalimbali [...]

Ziara ya Rais Samia yazaa makubaliano nane katika ya Tanzania na Urusi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema tayari makubaliano nane yamefikiwa kati ya Tanzania na Urusi ikiwa [...]
Rais Samia: Polisi epukeni vitendo vya rushwa
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa wa Jeshi la Polisi kuhakikisha wanajenga taswira njema ya [...]
CCM: Siasa zitumike kutuunganisha
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na wanasiasa wanaotafuta umaaru [...]
Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81
Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 12.63 na kufikia abiria milioni 6.81 katika mwaka wa fedha 2025/26 [...]
Museveni: “Msiisahau Tanzania”
Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, ameishukuru Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo na utulivu wa Uganda, akimtaja Baba wa Taif [...]

