Author: Cynthia Chacha
Rais Samia: Meli ya uvuvi itatoa fursa za ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua meli ya kwanza ya uvuvi wa Bahari Kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye Ukanda wa Maalum wa Uchum [...]
Mapendekezo ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025
1. Majeruhi wapatiwe matibabu na vifaa saidizi bure.
2. Itengwe siku ya maombolezo ya kitaifa ya kuwakumbuka waliofariki.
3. Kutolewe msaada wa [...]
Rais Samia:Chombo cha upelelezi kuundwa kufuatia ripoti ya tume
Rais Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuundwa kwa chombo maalumu cha upelelezi kitakachoshughulikia masuala yaliyoainishwa katika ripoti ya Tume ya Uchun [...]
Jaji Chande: Hakuna ushahidi wa uwepo wa makaburi ya halaiki
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uhalifu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mohamed Chande Othman, ame [...]
Serikali kugharamia matibabu ya waliojeruhiwa Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaweka utaratibu wa kugharamikia matibabu ya majeruhi wa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mk [...]
Mizigo Bandari ya Dar imeongezeka
Kampuni ya DP World imeripoti ongezeko kubwa la mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, likionesha mabadiliko ya msingi katika biashara ya kikanda.
[...]
Mapato Bandari ya Dar yaongezeka hadi trilioni 1
Kampuni ya DP World imesema maboresho ya ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam yameongeza mapato ya serikali kwa kasi kubwa, huku makusanyo ya kila [...]
Uzunduzi wa minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Mawasiliano katika Uku [...]
EAC yaweka mguu chini ushirikishwaji wa wanawake katika amani, ulinzi na usalama
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Mabaraza ya Kisekta ya Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za M [...]
Rais Samia ashiriki Kikao cha Baraza la Uongozi wa Umoja wa Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akis [...]

