Author: Cynthia Chacha

1 2 3 276 10 / 2753 POSTS
Rais Samia awahimiza Watanzania kujenga tamaduni za kupima afya mara kwa mara

Rais Samia awahimiza Watanzania kujenga tamaduni za kupima afya mara kwa mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza Watanzania kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kugundua [...]
Fahamu baa 13 Dar zilizofungiwa kufanya shughuli zake

Fahamu baa 13 Dar zilizofungiwa kufanya shughuli zake

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imezifungia baa 13 kuendelea na shughuli zake hadi itakapoamuliwa vinginevyo, kwa kukikiuka masharti ya Sheria ya [...]
Serikali yatangaza miradi sita mikubwa ya barabara kwa ubia na sekta binafsi

Serikali yatangaza miradi sita mikubwa ya barabara kwa ubia na sekta binafsi

Serikali imefungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya miundombinu kwa kutangaza miradi mikubwa ya barabara itakayotekelezwa kupitia ubia kati ya [...]
Rais Ndaitwah: Tuugeuze urafiki wa kihistoria kuwa utajiri na maendeleo kwa wananchi wetu

Rais Ndaitwah: Tuugeuze urafiki wa kihistoria kuwa utajiri na maendeleo kwa wananchi wetu

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kugeuza uhusiano wao wa kihistoria wa kidipl [...]
Tanzania na Namibia zasaini mikataba minne ya ushirikiano

Tanzania na Namibia zasaini mikataba minne ya ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, w [...]
Marekani yataka Serikali, wapinzani wazungumze

Marekani yataka Serikali, wapinzani wazungumze

Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu y [...]
Serikali ya Tanzania yakanusha kuuza dhahabu

Serikali ya Tanzania yakanusha kuuza dhahabu

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijawahi kuuza dhahabu iliyohifadhiwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akieleza kuwa lengo la u [...]
Tanzania yashika nafasi ya kwanza Afrika kwa idadi kubwa ya Simba na Nyati

Tanzania yashika nafasi ya kwanza Afrika kwa idadi kubwa ya Simba na Nyati

Kulingana na matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Juni 17, 2026, Tanzania inaongoza bar [...]
Kiwanda cha chuma kujengwa Dodoma

Kiwanda cha chuma kujengwa Dodoma

Serikali imetangaza kupatikana kwa wawekezaji wataotekeleza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha chuma chenye thamani ya zaidi ya sh600 bilioni eneo la Nal [...]
Maandalizi ya Ujenzi wa Bwawa la Farkwa yashika kasi

Maandalizi ya Ujenzi wa Bwawa la Farkwa yashika kasi

Serikali ipo katika hatua za awali za ujenzi wa bwawa la Farkwa, mkoani Dodoma. Wizara ya Maji kupitia Programu ya Uhimilivu dhidi ya Mabadiliko ya [...]
1 2 3 276 10 / 2753 POSTS
error: Content is protected !!