Author: Cynthia Chacha

1 2 3 273 10 / 2729 POSTS
Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania

Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, hatua iliyosababisha Kenya kuwa na bei kubwa [...]
IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania

IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimekubaliana katika ngazi ya wataalamu ukamilishaji wa tathmini za mwisho za mpango wa uf [...]
Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81

Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81

Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 12.63 na kufikia abiria milioni 6.81 katika mwaka wa fedha 2025/26 [...]
Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, ameishukuru Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo na utulivu wa Uganda, akimtaja Baba wa Taif [...]
Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga n [...]
Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa maadui wa mataifa ya Tanzania na Kenya si raia wa nchi hizo bali ni changamoto za kijamii na kiuchumi. “M [...]
Ruto aipongeza Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Amani Tanzania

Ruto aipongeza Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Amani Tanzania

Rais wa Kenya, Mhe. William Ruto, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitoke [...]
Rais Ruto awasili Tanzania

Rais Ruto awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto CGH, amewasili nchini Tanzania kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili Mei 4 na 5, 2026. Mheshimiwa Rut [...]
Rais Kagame atua Tanzania

Rais Kagame atua Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati ya Tanz [...]
Tanzania yahamasisha uzalishaji wa tufaha ndani ya nchi kupunguza uagizaji kutoka nje

Tanzania yahamasisha uzalishaji wa tufaha ndani ya nchi kupunguza uagizaji kutoka nje

Tanzania inahamasisha kilimo cha tufaha ndani ya nchi ili kupunguza utegemezi wa matunda yanayoagizwa kutoka nje, kwa kuzingatia fursa zilizopo katika [...]
1 2 3 273 10 / 2729 POSTS
error: Content is protected !!