Author: Cynthia Chacha

1 2 3 268 10 / 2676 POSTS
Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India

Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India

Parachichi nchini India yanapatikana kwa wingi kupitia uagizaji kutoka nje, huku soko likiwa katika hali ya kawaida bila mabadiliko makubwa kwa sasa, [...]
Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika

Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika

Tanzania imetambuliwa kuwa kinara wa uzalishaji wa kahawa iliyothibitishwa barani Afrika, hatua inayothibitisha kuimarika kwa ushawishi wake katika so [...]
Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena

Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena

Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea meli zaidi zinazoleta shehena ya magari na mitambo ambapo tarehe 09 Februari, 2026 meli nyingine ya MV ANA OCEAN [...]
Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba

Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha muswada wa marekebisho ya Katiba unaolenga kuongeza muda wa mihula ya Rais na Bunge kutoka miaka mitano h [...]
Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika

Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa rasmi kuwa Balozi wa Huduma za Afya ya Mama na Mtoto barani Afrik [...]
Mawaziri wa Afrika waweka mkakati wa kuongeza thamani ya madini barani

Mawaziri wa Afrika waweka mkakati wa kuongeza thamani ya madini barani

Mawaziri wa Madini wa nchi za Afrika wamekubaliana kwa kauli moja kuweka mikakati ya kuongeza thamani ya madini katika nchi zao hususani madini ya kim [...]
Rais Samia azindua rasmi Soko Kuu la Kariakoo baada ya ukarabati wa shilingi bilioni 28

Rais Samia azindua rasmi Soko Kuu la Kariakoo baada ya ukarabati wa shilingi bilioni 28

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Soko Kuu la Kariakoo, lililokuwa likifanyiwa [...]
Rushwa nchini Kenya yadhoofisha uchumi

Rushwa nchini Kenya yadhoofisha uchumi

Ripoti ya Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa ya Kenya (EACC) ya mwaka 2024 inaonesha kuwa rushwa bado ni tatizo kubwa linaloathiri moja kwa moja u [...]
Rais Samia Suluhu Hassan atajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa Afrika 2025

Rais Samia Suluhu Hassan atajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa Afrika 2025

Avance Media imetangaza orodha ya Wanawake 100 Wenye Ushawishi Mkubwa Barani Afrika kwa mwaka 2025, chapisho ambalo linatambua wanawake wa Kiafrika am [...]
Rais Samia: Tanzania imepanda viwango kimataifa vya nchi zinazopendelewa kwa uwekezaji

Rais Samia: Tanzania imepanda viwango kimataifa vya nchi zinazopendelewa kwa uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Tanzania imepanda kwa nafasi tisa katika viwango vya kimataifa vya nchi zin [...]
1 2 3 268 10 / 2676 POSTS
error: Content is protected !!