3000onon
HABARI
Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kushika nafasi ya 34 kati ya mae [...]
HABARI
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. [...]
Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea kwa masikitiko matukio yanayoendelea kujitok [...]
DRC yashangazwa na ubora wa matibabu Muhimbili
Gavana wa Jimbo la Maniema, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Moise Kabwankubi ameongoza ujumbe kutoka nchi hiyo kuzuru Hospitali ya Taifa [...]
Tanzania yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa visiwa 120
Serikali ya Tanzania Jumamosi imezindua mradi wa kusambaza umeme wa jua unaolenga visiwa 120 vilivyopo katika mikoa minane inayopakana na maziwa makuu [...]
Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025 yaongezewa muda hadi Aprili 3
Mamlaka ya uteuzi imeongeza muda wa siku 42 kuanzia tarehe 20 Februari kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi [...]
Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa
Shirika la kimataifa la tathmini ya mikopo Moody’s Ratings limethibitisha daraja la Tanzania la B1 kwa muda mrefu katika mikopo ya sarafu ya ndani na [...]
Balozi Mteule wa Hungary awasilisha nakala ya Hati za Utambulisho
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
Sekta ya utalii Kenya yakabiliwa na changamoto, watalii wahamia nchi jirani
Enzi ambazo watalii walipotoshwa kuamini kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya zimeanza kupotea, huku wengi wao sasa wakihamia vivutio vya utalii katika ma [...]
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi 23.2 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya mara tatu [...]
Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato
Kwa vigezo vyovyote vile, Bandari ya Mombasa imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa Kenya.
Kwa muda mrefu, Mombasa ilikuwa lango kubwa zaidi la bahari k [...]
Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya
Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]

