HABARI
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa [...]
HABARI
TTCL, Posta zaandika historia uchangiaji gawio serikalini
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na Shirika la Posta Tanzania zimeandika historia mpya baada ya kurejea katika faida na kuanza kuchangia gawio serikali [...]
Katambi: Iwe CCM au chama chochote, mikutano isitishwe
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillius Wambura kusitisha kwa muda vibali vya mi [...]
DART yapata Sh bilioni 56.6 kwa upanuzi wa Mradi wa BRT Awamu ya Tatu
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umepata ufadhili wa Shilingi bilioni 56.6 kutoka Benki ya Dunia kwa ajili ya kupanua Depo ya Gon [...]
Bandari ya Dar es Salaam yaongoza Afrika Mashariki kwa ufanisi katika viwango vya kimataifa
Bandari ya Dar es Salaam imeibuka kuwa bandari yenye ufanisi mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki baada ya kupiga hatua kubwa katika Kielezo cha Kimat [...]

Rais Samia awahimiza Watanzania kujenga tamaduni za kupima afya mara kwa mara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza Watanzania kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kugundua [...]
Fahamu baa 13 Dar zilizofungiwa kufanya shughuli zake
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imezifungia baa 13 kuendelea na shughuli zake hadi itakapoamuliwa vinginevyo, kwa kukikiuka masharti ya Sheria ya [...]
Serikali yatangaza miradi sita mikubwa ya barabara kwa ubia na sekta binafsi
Serikali imefungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya miundombinu kwa kutangaza miradi mikubwa ya barabara itakayotekelezwa kupitia ubia kati ya [...]
Tanzania na Namibia zasaini mikataba minne ya ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, w [...]
Marekani yataka Serikali, wapinzani wazungumze
Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu y [...]
Serikali ya Tanzania yakanusha kuuza dhahabu
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijawahi kuuza dhahabu iliyohifadhiwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akieleza kuwa lengo la u [...]
Tanzania yashika nafasi ya kwanza Afrika kwa idadi kubwa ya Simba na Nyati
Kulingana na matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Juni 17, 2026, Tanzania inaongoza bar [...]
Kiwanda cha chuma kujengwa Dodoma
Serikali imetangaza kupatikana kwa wawekezaji wataotekeleza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha chuma chenye thamani ya zaidi ya sh600 bilioni eneo la Nal [...]

