HABARI
HABARI
Watu watatu washikiliwa kwa utekaji na mauaji ya mtoto Simiyu
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia Yumba Mayala (22), Zakayo Shija (28) na Seba Buchenja (30) wote wakazi wa Malampaka kwa tuhuma za mauaji [...]
Watu saba wafikishwa Mahakamani tuhuma za wizi wa magari ya bandarini
Watu saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuiba magari mawili yaliyokuwa yakisafiri [...]
Tanzania na DRC zakubaliana kuendeleza ushirikiano katika nyanja mbalimbali
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya madini, biash [...]
Atafutwa kwa mauaji ya mama na mtoto Morogoro
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamtafuta Anderson Jackson kwa tuhuma za mauaji ya Asha Lukonge (38) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Muoso, Kijiji [...]
Bodaboda kupatiwa utambulisho maalum kufuatia uhalifu wa vishandu
Kufuatia wimbi la uhalifu unaofanywa na watu kwa kutumia pikipiki maarufu kama “vishandu,” Jeshi la Polisi mkoani Tanga limesema linapanga kuweka utam [...]
Trump atishia kuishambulia Oman kwa sababu ya Hormuz
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuishambulia Oman endapo nchi hiyo itazuia juhudi za Marekani za kufikia makubaliano na Iran kuhusu kufungul [...]
Karua: Mimi ndiye Rais ajaye wa Kenya
Kiongozi wa upinzani wa chama cha People’s Liberation Party (PLP), Martha Karua, amesema ana imani kuwa yeye ndiye Rais ajaye wa Kenya katika Uchaguzi [...]
Wimbi la uvamizi wa makanisa latikisa Kenya
Wasiwasi umeongezeka katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya kufuatia ongezeko la matukio ya uvamizi wa makanisa, hasa yale ambayo hayana walinzi.
[...]
Trump atangaza mpango wa kuchukua eneo la Hormuz kuwa la Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza mpango wa kuutangaza Mlango wa Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani wakati ambapo mvutano kati ya Marekani [...]
Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
Akiri kuua baba na mama yake mdogo akiwatuhumu kwa uchawi Njombe
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Jacktani Mgeni (31) kwa tuhuma za mauaji ya Alfred Mgeni (65) na mke wake Betes Msigara (55) wote wakazi w [...]


