HABARI
Kampuni ya DP World imeripoti ongezeko kubwa la mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, likionesha mabadiliko ya msingi katika biashara ya kikanda.
[...]
HABARI
Serikali yatangaza mikopo ya Sh bilioni 200 kwa vijana
Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi utaratibu wa utoaji wa mikopo ya jumla ya Sh bilioni 200 kwa vijana, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza ajir [...]
Papa Leo asifu mchango wa Serikali ya Tanzania kwa kanisa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo XIV, amepongeza mchango na ushirikiano wa Serikali ya Tanzania kwa kanisa hilo, akisema ni ishara nzuri [...]

Serikali kuchambua mapendekezo 284 ya maboresho ya kodi kabla ya utekelezaji
Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafanya uchambuzi wa kina wa mapendekezo 284 ya maboresho ya mifumo ya kodi kabla ya kuan [...]
SGR kuanza kutoa mizigo bandarini
Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutum [...]
Ripoti za Amnesty na HRW zakosolewa na serikali ya Tanzania
Serikali ya Tanzania imekosoa ripoti za Amnesty International (AI) na Human Rights Watch (HRW) kuhusu matukio ya vurugu yaliyojitokeza wakati wa Uchag [...]
Tanzania na Uganda zaainisha maeneo ya ushirikiano wa kimkakati
Tanzania na Uganda zimekutana kupitia maeneo ya ushirikiano wa maendeleo ya pamoja ya kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizo mbili rafiki, katika Mkuta [...]
Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makaz [...]
Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini
Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kushika nafasi ya 34 kati ya mae [...]
Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Samoei Ruto, ameipongeza Tanzania kwa mafanikio ya mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge Railway (SGR)
Aki [...]
Museveni Mwenyekiti mpya EAC
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi kuanzia machi 2026 hadi 2028.
Rais Muse [...]
ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na Dubai siku ya Jumapili, Machi 8, 2026, kwa leng [...]
Tanzania na Kenya kukuza diplomasia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]

