HABARI
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa maadui wa mataifa ya Tanzania na Kenya si raia wa nchi hizo bali ni changamoto za kijamii na kiuchumi.
“M [...]
HABARI
Standard Chartered yapanga ufadhili wa Dola Bilioni 2.33 kwa Mradi wa Reli ya Kisasa Tanzania
Benki ya Standard Chartered imetangaza kufanikisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya dola bilioni 2.33 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisa [...]
Madini yachangia 11.9% kwenye Pato la Taifa
Serikali imesema mchango wa sekta ya madini kwenye Pato la Taifa umeongezeka kutoka 10.1% kwa mwaka 2024 hadi 11.9% kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka [...]
Rais Samia awaonya vijana, ataka mshikamano wa Taifa urejeshwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kurejea katika m [...]
Rais Samia: Meli ya uvuvi itatoa fursa za ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua meli ya kwanza ya uvuvi wa Bahari Kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye Ukanda wa Maalum wa Uchum [...]
Mapendekezo ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025
1. Majeruhi wapatiwe matibabu na vifaa saidizi bure.
2. Itengwe siku ya maombolezo ya kitaifa ya kuwakumbuka waliofariki.
3. Kutolewe msaada wa [...]
Rais Samia:Chombo cha upelelezi kuundwa kufuatia ripoti ya tume
Rais Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuundwa kwa chombo maalumu cha upelelezi kitakachoshughulikia masuala yaliyoainishwa katika ripoti ya Tume ya Uchun [...]
Jaji Chande: Hakuna ushahidi wa uwepo wa makaburi ya halaiki
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uhalifu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mohamed Chande Othman, ame [...]
Serikali kugharamia matibabu ya waliojeruhiwa Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaweka utaratibu wa kugharamikia matibabu ya majeruhi wa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mk [...]
Mizigo Bandari ya Dar imeongezeka
Kampuni ya DP World imeripoti ongezeko kubwa la mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, likionesha mabadiliko ya msingi katika biashara ya kikanda.
[...]
Mapato Bandari ya Dar yaongezeka hadi trilioni 1
Kampuni ya DP World imesema maboresho ya ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam yameongeza mapato ya serikali kwa kasi kubwa, huku makusanyo ya kila [...]
Uzunduzi wa minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Mawasiliano katika Uku [...]
Rais Samia Suluhu aonesha mfano kwa kutangaza kupunguza matumizi ya mafuta katika ofisi zake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa mfano wa moja kwa moja katika kupunguza matumizi ya mafuta kwa kuanzish [...]

