HABARI
Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro.
[...]
HABARI
Rais Samia: Polisi acheni kumtafuta Askofu Gwajima
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama w [...]
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
[...]
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta wafikia asilimia 33.57
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta unaojengwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefikia asi [...]
Asilimia 0.7 Tu: EU Sio Tegemeo la Bajeti ya Tanzania
Siku moja baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kupitisha azimio la kusitisha msaada wa Euro milioni 156 (takriban Sh bilioni 400) uliokuwa umetengwa kwa ajili [...]
Tanzania, Korea kushirikiana kiuchumi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania Korea (T [...]
Tanzania sasa ina umeme wa kutosha
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha na hivyo ukamilifu wa Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerer [...]

Marekani yafutilia mbali mradi wa KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi
Marekani imefutilia mbali mradi wa thamani ya KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi, uliokubaliwa wakati wa utawala wa Rais Joe Biden na rasmi kuid [...]
210 wafutiwa mashitaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza
Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kos [...]
Dkt. Samia aagiza fedha za sherehe ya kuadhimisha 9 Desemba zikarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha za sherehe zilizopangwa kuadhimisha Desemba 9, 2025 zitumike kukarabat [...]
Serikali yaagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia [...]
Benki Kuu ya Tanzania yatoa hakikisho usalama wa mifumo ya malipo
Benki Kuu ya Tanzania imekanusha taarifa kuhusu usalama mdogo wa mifumo ya malipo na akaunti za amana katika benki na taasisi za fedha.
Taarifa ili [...]
Ushirikiano na DP World waongeza mapato
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameeleza kuwa Serikali kwa kushirikiana na DP World mapato yameongezeka kutoka Sh bilioni 900 hadi trilion [...]


