HABARI
Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]
HABARI
Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika
Tanzania imetambuliwa kuwa kinara wa uzalishaji wa kahawa iliyothibitishwa barani Afrika, hatua inayothibitisha kuimarika kwa ushawishi wake katika so [...]
Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena
Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea meli zaidi zinazoleta shehena ya magari na mitambo ambapo tarehe 09 Februari, 2026 meli nyingine ya MV ANA OCEAN [...]
Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha muswada wa marekebisho ya Katiba unaolenga kuongeza muda wa mihula ya Rais na Bunge kutoka miaka mitano h [...]
Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa rasmi kuwa Balozi wa Huduma za Afya ya Mama na Mtoto barani Afrik [...]
Mawaziri wa Afrika waweka mkakati wa kuongeza thamani ya madini barani
Mawaziri wa Madini wa nchi za Afrika wamekubaliana kwa kauli moja kuweka mikakati ya kuongeza thamani ya madini katika nchi zao hususani madini ya kim [...]
Rais Samia azindua rasmi Soko Kuu la Kariakoo baada ya ukarabati wa shilingi bilioni 28
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Soko Kuu la Kariakoo, lililokuwa likifanyiwa [...]
Rushwa nchini Kenya yadhoofisha uchumi
Ripoti ya Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa ya Kenya (EACC) ya mwaka 2024 inaonesha kuwa rushwa bado ni tatizo kubwa linaloathiri moja kwa moja u [...]
Rais Samia Suluhu Hassan atajwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa Afrika 2025
Avance Media imetangaza orodha ya Wanawake 100 Wenye Ushawishi Mkubwa Barani Afrika kwa mwaka 2025, chapisho ambalo linatambua wanawake wa Kiafrika am [...]
Rais Samia: Tanzania imepanda viwango kimataifa vya nchi zinazopendelewa kwa uwekezaji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Tanzania imepanda kwa nafasi tisa katika viwango vya kimataifa vya nchi zin [...]
Shilingi bilioni 5 zatengwa kuimarisha kampuni 50 za TEHAMA
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza kwa vi [...]
Zaidi ya vituo vya afya 500 vyafanyiwa tathmini ya miundombinu
Serikali imefanya tathmini na kuainisha vituo vya afya kongwe 532 ambavyo vinahitaji kuongezewa na kukarabatiwa kwa miundombinu yake.
Naibu Waziri [...]
Soko la dengu kufunguliwa Malyasia
Serikali imesema inaendelea na taratibu za kufungua soko la dengu nchini Malaysia.
Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde ametoa kauli hiyo bungeni [...]


