HABARI
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuendelea na ujenzi wa miradi ya kuimarisha Gridi ya Taifa ili kuhakikisha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Mwa [...]
HABARI
Bodaboda kupatiwa utambulisho maalum kufuatia uhalifu wa vishandu
Kufuatia wimbi la uhalifu unaofanywa na watu kwa kutumia pikipiki maarufu kama “vishandu,” Jeshi la Polisi mkoani Tanga limesema linapanga kuweka utam [...]
Trump atishia kuishambulia Oman kwa sababu ya Hormuz
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuishambulia Oman endapo nchi hiyo itazuia juhudi za Marekani za kufikia makubaliano na Iran kuhusu kufungul [...]
Karua: Mimi ndiye Rais ajaye wa Kenya
Kiongozi wa upinzani wa chama cha People’s Liberation Party (PLP), Martha Karua, amesema ana imani kuwa yeye ndiye Rais ajaye wa Kenya katika Uchaguzi [...]
Wimbi la uvamizi wa makanisa latikisa Kenya
Wasiwasi umeongezeka katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya kufuatia ongezeko la matukio ya uvamizi wa makanisa, hasa yale ambayo hayana walinzi.
[...]
Trump atangaza mpango wa kuchukua eneo la Hormuz kuwa la Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza mpango wa kuutangaza Mlango wa Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani wakati ambapo mvutano kati ya Marekani [...]
Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
Akiri kuua baba na mama yake mdogo akiwatuhumu kwa uchawi Njombe
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Jacktani Mgeni (31) kwa tuhuma za mauaji ya Alfred Mgeni (65) na mke wake Betes Msigara (55) wote wakazi w [...]
Rais Samia: Wananchi tunzeni miradi inayotekelezwa na serikali
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo mengine kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali, akisisitiza kuwa mi [...]
Polisi kuchunguza kifo cha kijana aliyekamatwa Ngorongoro
Polisi Mkoa wa Arusha wanaendelea kuchunguza mazingira yaliyosababisha kifo cha Sefu Mussa (25) na kujeruhiwa kwa Salimu Haji maarufu Chambega, baada [...]
Rais Samia asema urithi bora kwa watoto ni taifa lenye amani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urithi mkubwa ambao wazazi na walezi wanapaswa kuwaachia watoto wao ni taifa lenye amani ambalo wataweza kutimiza ndo [...]
Mwabukusi: Tusiwaweke viongozi kwenye shinikizo kubwa kuhusu katiba
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Watanzania wanapaswa kukubaliana kwanza kuhusu umuhimu wa kuzungumza [...]


