HABARI
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
HABARI
Serikali: 14% ya fedha za Bima ya Afya kwa Wote kugharamia magonjwa sugu
Serikali imesema asilimia 14 ya fedha zinazotengwa kupitia Bima ya Afya kwa Wote zitaelekezwa katika kugharamia matibabu ya wananchi wenye magonjwa su [...]
Rais Samia afanya mazungumzo na viongozi wa TEC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania [...]
Rais Samia Suluhu akutana na vijana wa makachu
Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na vijana wa Makachu katika eneo la pembezoni mwa Bustani ya Forodhani, Zanzibar, leo Agosti 10, 2026.
Mkutano [...]
Rais Samia kutoa mtaji kwa wabunifu wa ndege nyuki ‘drone’
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kutoa mtaji kwa ajili ya utengezaji wa ndege nyuki yenye uwezo wa kupulizia dawa kwenye shamba la ekari moja baada [...]
Rais Samia: anayeharibu mali za umma ni adui ni adui wa taifa
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amewaonya watu wenye tabia ya kuharibu kwa makusudi mali za umma ikiwemo miundombinu ya barabara,wanahujumu maendeleo kwa [...]
Mradi wa kituo cha kuongeza msukumo wa mafuta (PS3) Muleba wafikia asilimia 88
Mradi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (Pump Station 3 – PS3) katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kilichopo Wila [...]
Rais Samia aweka ramani ya njia ya Katiba Mpya ya Tanzania
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza dhamira ya serikali yake ya kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kuimarisha umoja wa kitaifa kufuati [...]
Serikali yazidi kusogeza karibu huduma za afya
Bariadi , Serikali imeendelea kusogeza karibu huduma za afya kwa wananchi, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Zahanati ya Bipyayi kuzinduliwa rasmi kwa [...]
Mauzo ya mazao yaongezeka asilimia 43.6
Kiasi cha mazao yaliyouzwa kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kimeongezeka kwa asilimia 43.6 katika mwaka wa fedha 2025/26.
Akizungumza na waandi [...]
Tanzania yaimarisha gridi ya umeme Mtwara kwa kuanza mradi wa njia ya kusafirisha umeme Masasi–Newala
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi akiwa pamoja na viongozi wengine, ameweka Jiwe la Msingi na kukata utepe kuzindua Mradi wa Ujenzi wa Njia Maalu [...]
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali kwa usambazaji wa umeme migodini
Wachimbaji wadogo wa madini wilayani Nyang'hwale, mkoani Geita, wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa [...]

Serikali ya Marekani yazindua kampeni ya kupinga ICC
Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina ma [...]

