HABARI
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kutoa mtaji kwa ajili ya utengezaji wa ndege nyuki yenye uwezo wa kupulizia dawa kwenye shamba la ekari moja baada [...]
HABARI
Tanzania yaimarisha gridi ya umeme Mtwara kwa kuanza mradi wa njia ya kusafirisha umeme Masasi–Newala
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi akiwa pamoja na viongozi wengine, ameweka Jiwe la Msingi na kukata utepe kuzindua Mradi wa Ujenzi wa Njia Maalu [...]
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali kwa usambazaji wa umeme migodini
Wachimbaji wadogo wa madini wilayani Nyang'hwale, mkoani Geita, wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa [...]

Serikali ya Marekani yazindua kampeni ya kupinga ICC
Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina ma [...]
Baba Levo: SGR kuibadilisha Kigoma kiuchumi
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi [...]
SGR Tabora-Kigoma kufungua fursa mpya za kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa [...]
Rais Samia: MV Liemba kuchochea uchumi Ziwa Tanganyika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuboresha huduma za usafiri katika Ziwa Tanganyika, ikiwemo kuimarisha meli ya MV Liemba, ili kuo [...]
Tanzania kuwa kitovu cha huduma za maabara za madini Afrika Mashariki na Kati
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) unaendelea kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha hudum [...]
Rais Samia: Kalamu ya mwanasheria iwe nyenzo ya kulinda maslahi ya Taifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kalamu ya Mwanasheria wa Serikali ni nyenzo muhimu katika kulinda maslahi ya Taifa, akisisitiza kuwa ikitumika kwa we [...]
Tanzania na Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 3.15
Serikali ya Marekani na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano Rasmi Katika Sekta ya Afya baina [...]
Utegemezi wa mashirika ruzuku ya serikali wapungua asilimia 13
Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema kwa miaka mitano iliyopita kiwango cha mashirika ya umma yasiyo ya kibiashara kutegemea ruzuku ya serikali [...]
TTCL, Posta zaandika historia uchangiaji gawio serikalini
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na Shirika la Posta Tanzania zimeandika historia mpya baada ya kurejea katika faida na kuanza kuchangia gawio serikali [...]
Katambi: Iwe CCM au chama chochote, mikutano isitishwe
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillius Wambura kusitisha kwa muda vibali vya mi [...]

