HABARI
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, amefanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Mto Ng’ombe, Tandale, Dar es Salaam, kukagua hali ya usafi wa mazingi [...]
HABARI
Rais Mwinyi aunda Kamati ya watu 10 kusimamia mazungumzo ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameteua kamati ya pamoja ya watu 10 kusimamia mazungumzo ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kati [...]
Ndejembi: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na El Niño
Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazo [...]
Hiari ahukumiwa miaka 30 jela kwa kukutwa na bangi
Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imemhukumu Hiari Juma Salumu kifungo cha miaka thelathini jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujihusi [...]
DAWASA: Tunafanya matengenezo kujiandaa na El Nino
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema imezima mtambo wa Ruvu Juu ulioko Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani na kupelekea [...]
Akamatwa kwa kufanya fujo hospitalini baada ya kuzuiwa kuiona familia yake
Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Dickson Juma (32) mkazi wa Kiabakari wilayani Butiama kwa tuhuma za kufanya fujo kituo cha afya cha Nyasho k [...]
MLINZI AKAMATWA TUHUMA ZA KUMUUA DEREVA KWA RISASI
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Hussein Idd (37), mlinzi na mkazi wa Kayenzi, Manispaa ya Morogoro, kwa tuhuma za kumuua kwa risasi Fei [...]
Watu wanne wafariki kwenye ajali Tabora
Watu wanne, wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Miza Express lililokuwa likitokea Mpanda kuelekea Bariadi kuacha njia [...]

Rais Samia aahidi kuimarishwa kwa Gridi ya Taifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuendelea na ujenzi wa miradi ya kuimarisha Gridi ya Taifa ili kuhakikisha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Mwa [...]
Walimu sita washikiliwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Mara
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia walimu sita wa shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa kidato ch [...]
Watu watatu washikiliwa kwa utekaji na mauaji ya mtoto Simiyu
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia Yumba Mayala (22), Zakayo Shija (28) na Seba Buchenja (30) wote wakazi wa Malampaka kwa tuhuma za mauaji [...]

