3000onon
HABARI
Serikali imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu ya Kitaifa ya Uwezeshaji Vijana Kiuchumi, hatua inayolenga kuongeza fursa za aji [...]
HABARI
Urusi yataka kuendeleza sekta ya gesi Tanzania na bandari za Bahari ya Hindi
Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kitovu muhimu cha biashara kwa Urusi katika kuimarisha bi [...]
Putin akutana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan: Mahusiano ya Tanzania na Urusi yaendelea kuimarika mwaka 2026
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alikutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, jijini Moscow tarehe 3 Juni kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikian [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Shahada ya Heshima wakati wa ziara ya kiserikali Urusi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima (Honorary Doctorate) wakati wa ziara yake ya kiserik [...]
Rais Samia: Polisi epukeni vitendo vya rushwa
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa wa Jeshi la Polisi kuhakikisha wanajenga taswira njema ya [...]
Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahutubia washiriki wakati wa Hafla Rasmi ya Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Nishat [...]
Bei ya mafuta yasababisha mgomo wa magari Kenya
Wamiliki wa magari ya uchukuzi wa umma nchini Kenya wameanza mgomo leo Jumatatu wakipinga nyongeza ya bei ya mafuta iliyotangazwa wiki iliyopita.
P [...]
CCM: Siasa zitumike kutuunganisha
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na wanasiasa wanaotafuta umaaru [...]
Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, hatua iliyosababisha Kenya kuwa na bei kubwa [...]
IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimekubaliana katika ngazi ya wataalamu ukamilishaji wa tathmini za mwisho za mpango wa uf [...]
Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81
Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 12.63 na kufikia abiria milioni 6.81 katika mwaka wa fedha 2025/26 [...]
Museveni: “Msiisahau Tanzania”
Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, ameishukuru Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo na utulivu wa Uganda, akimtaja Baba wa Taif [...]
Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho
Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga n [...]


