HABARI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijawahi kuuza dhahabu iliyohifadhiwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akieleza kuwa lengo la u [...]
HABARI
Kodi mpya kwa mafuta ghafi ya kula yanayoingizwa nchini
Serikali imependekeza kuanza kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 kwa mafuta ghafi ya kula ya aina mbalimbali yanayoingizwa nchini, ikiwemo mafuta [...]
Marekani yalegeza makali muswada dhidi ya Tanzania
Bunge la Marekani, limeondoa baadhi ya vipengele vilivyotoa masharti makali kuhusu uhusiano wa Taifa hilo na Tanzania, huku moja ya mabadiliko makubwa [...]
Rais Samia haendi nje kutafuta misaada, anatafuta fursa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa ziara za Rais Samia Suluhu Hassan katika mataifa mbalimbali [...]
Ziara ya Rais Samia Urusi yafungua fursa mpya za ushirikiano
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu [...]

Ziara ya Rais Samia yazaa makubaliano nane katika ya Tanzania na Urusi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema tayari makubaliano nane yamefikiwa kati ya Tanzania na Urusi ikiwa [...]
Urusi yataka kuendeleza sekta ya gesi Tanzania na bandari za Bahari ya Hindi
Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kitovu muhimu cha biashara kwa Urusi katika kuimarisha bi [...]
Putin akutana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan: Mahusiano ya Tanzania na Urusi yaendelea kuimarika mwaka 2026
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alikutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, jijini Moscow tarehe 3 Juni kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikian [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Shahada ya Heshima wakati wa ziara ya kiserikali Urusi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima (Honorary Doctorate) wakati wa ziara yake ya kiserik [...]
Rais Samia: Polisi epukeni vitendo vya rushwa
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa wa Jeshi la Polisi kuhakikisha wanajenga taswira njema ya [...]
Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahutubia washiriki wakati wa Hafla Rasmi ya Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Nishat [...]
Bei ya mafuta yasababisha mgomo wa magari Kenya
Wamiliki wa magari ya uchukuzi wa umma nchini Kenya wameanza mgomo leo Jumatatu wakipinga nyongeza ya bei ya mafuta iliyotangazwa wiki iliyopita.
P [...]
CCM: Siasa zitumike kutuunganisha
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na wanasiasa wanaotafuta umaaru [...]

