Category: Burudani
BASATA: Hakuna msanii kutolewa kwenye tuzo
Baada ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wasanii kuhusu uwepo wao kwenye baadhi ya vipengele vya kuwania tuzo za muziki na wengine kutaka kujitoa kwe [...]
Waandaaji wa Miss Tanzania wapinga wazo la Zuchu
Baada ya msaani Zuhuru 'Zuchu' kutumia Sash yenye jina la Miss Tanzania kwenye cover ya wimbo wake mpya wa NAPAMBANA. waandaaji wa mashindano ya Uremb [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Januari 9,2023
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Januari 9,2023. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v=NVOuH [...]
Anjella aiaga Konde Gang
Aliyekuwa msanii chini ya lebo ya muziki ya Konde Music Worldwide inayomilikiwa na Harmonize, Anjella ameiaga lebo hiyo na kutoa shukurani kupitia uku [...]
Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali
Mkurugenzi wa EFM na TVE, Francis Ciza "Majizzo" amepinga mtazamo wa mtangazaji wa EFM redio, Gerald Hando kuhusu namna ambavyo serikali imekua ikichu [...]
Diamond amaliza yote kwa Zuchu
Kupitia kwenye ukurasa wa instagrama wa msanii Diamond Platnumz ambaye ni CEO wa lebo ya muziki ya Wasafi WCB, ameandika ujumbe kumtakia heria ya siku [...]
Harmonize: anayeweza kuendeleza kipaji chake ajitokeze
Kupitia InstaStory yake @harmonize_tz amevunja ukimya juu ya sakata lake na @anjella_tz
Harmonize ameweka wazi kuwa amefika muda ameshindwa kuendel [...]
Takeoff afariki dunia
Chanzo cha kuaminika cha habari za burudani toka Marekani, Hollywood Unlocked, umeripoti usiku huu (Kwa saa za Marekani) marapa wa kundi la Migos amba [...]
Mtoto wa Davido na Chioma afariki dunia
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na Mpenzi wake Chioma Rowland amefariki [...]
Ubalozi wa Marekani kutoa tiketi za bure kuangalia uzinduzi wa Black Panther II
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa taarifa kwamba utatoa tiketi za bure kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya "Black Panther" utakaofanyika Century [...]