Category: Kimataifa
Tanzania na Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 3.15
Serikali ya Marekani na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano Rasmi Katika Sekta ya Afya baina [...]
Rais Ndaitwah: Tuugeuze urafiki wa kihistoria kuwa utajiri na maendeleo kwa wananchi wetu
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kugeuza uhusiano wao wa kihistoria wa kidipl [...]
Tanzania na Namibia zasaini mikataba minne ya ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, w [...]
Marekani yataka Serikali, wapinzani wazungumze
Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu y [...]
Marekani yalegeza makali muswada dhidi ya Tanzania
Bunge la Marekani, limeondoa baadhi ya vipengele vilivyotoa masharti makali kuhusu uhusiano wa Taifa hilo na Tanzania, huku moja ya mabadiliko makubwa [...]
Ziara ya Rais Samia Urusi yafungua fursa mpya za ushirikiano
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu [...]
Urusi yataka kuendeleza sekta ya gesi Tanzania na bandari za Bahari ya Hindi
Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kitovu muhimu cha biashara kwa Urusi katika kuimarisha bi [...]
Putin akutana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan: Mahusiano ya Tanzania na Urusi yaendelea kuimarika mwaka 2026
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alikutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, jijini Moscow tarehe 3 Juni kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikian [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Shahada ya Heshima wakati wa ziara ya kiserikali Urusi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima (Honorary Doctorate) wakati wa ziara yake ya kiserik [...]
Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahutubia washiriki wakati wa Hafla Rasmi ya Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Nishat [...]

