Category: Kimataifa

1 2 3 52 10 / 511 POSTS
17 waokolewa meli iliyozama DRC

17 waokolewa meli iliyozama DRC

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesema watu 17 wameokolewa katika tukio la kuzama Meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, iliyo [...]
Dkt. Kikwete aibuka kinara tuzo za Kiongozi Bora wa Afrika

Dkt. Kikwete aibuka kinara tuzo za Kiongozi Bora wa Afrika

Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo ya kiongozi bora wa mwaka 2023 katika Tuzo za Kiongozi Bora wa Afrika kwa Mwaka 2023 (African Leadership [...]
Waliomuua AKA wakamatwa

Waliomuua AKA wakamatwa

Polisi wa South Africa wamethibitisha kuwakamata Washukiwa sita wa mauaji ya Rapper Kiernan Forbes maarufu AKA na kusema miongoni mwao ni ‘Mastermind’ [...]
Gloria apangiwa shule ya wavulana kujiunga kidato cha kwanza

Gloria apangiwa shule ya wavulana kujiunga kidato cha kwanza

Gloria Adhiambo Owino mwenye umri wa miaka 14 kutoka nchini Kenya amejikuta akipangiwa kujiunga kidato cha kwanza katika Shule ya Wavulana na Lenana a [...]
Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Mhe. Hussein Bashe amesema takwimu za hivi karibu zinaonyesha Tanzania imekuwa mzalishaji wa pili mkubwa wa tumbaku [...]
Kenya yaomba msaada wa dawa za TB Tanzania

Kenya yaomba msaada wa dawa za TB Tanzania

Waziri wa Afya wa Kenya Susan Nakhumicha Wafula amesema kutokana na uhaba wa dawa za kutibu kifua kikuu au TB, Serikali yao ilichukua uamuzi wa kuomba [...]
Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Kampuni ya Avance Media katika toleo lake la tano imetoa orodha ya wanawake 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika kwa mwaka 2023. Miongoni mwao n [...]
Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania imeongeza idadi ya watalii wa kigeni wanaoingia nchini kwa asilimia 19 kufikia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na idadi ya juu iliyopata ku [...]
Rais Samia apanda viwango wanawake 100 wenye ushawishi duniani

Rais Samia apanda viwango wanawake 100 wenye ushawishi duniani

Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa walioorodheshwa katika jarida la Forbes la wanawake wenye uwez [...]
Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Benki ya Standard Chartered Kenya imepunguza kiasi kikubwa cha hisa zake katika dhamana za serikali ya Kenya kwa 52% baada ya kupata hasara ya uwekeza [...]
1 2 3 52 10 / 511 POSTS
error: Content is protected !!