Category: Burudani

1 2 3 4 5 42 30 / 414 POSTS
Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?

Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?

Mwanamasumbwi Shabani Kaoneka amesikitishwa na kitendo cha Karim Mandonga kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari na kupata madili ya matangazo m [...]
Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize

Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize

Hatimaye mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel ametolewa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam alipokuwa amewekwa rumand [...]
Alilipwa hela kamili

Alilipwa hela kamili

Mapromota wa tamasha alilopaswa kutumbuiza msanii Kizz Daniel, Big Step Consultancy wamesema walimlipa mwanamuziki huyo hela kamili licha ya kugoma ku [...]
Kizz Daniel akamatwa

Kizz Daniel akamatwa

Staa wa muziki kutoka Nigeria @kizzdaniel amekamatwa na Polisi nchini Tanzania baada ya kugoma kutumbuiza kwenye Show licha ya kulipwa pesa nyingi. [...]
Waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel

Waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel

Kampuni ya inayohusika na uandaaji wa matamasha ya Str8up Vibes imeomba radhi kwa mashabiki baada ya msanii kutoka nchi Nigeria, Kizz Daniel kushindwa [...]
Show ya Kizz Daniel Tanzania yaingia doa

Show ya Kizz Daniel Tanzania yaingia doa

Usiku wa kuamkia leo August 8,2022 Jiji Dar es Salaam kumefanyika show ya SummerApplified ambapo msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria Kizz daniel [...]
Simba SC wapo tayari kwa ajili ya Sensa

Simba SC wapo tayari kwa ajili ya Sensa

Wachezaji wa Klabu ya Simba SC leo wakiwa katika maandalizi ya mwisho kuelekea tamasha kubwa la SIMBA DAY ambapo wanatarajiwa kucheza dhidi ya Mabingw [...]
‘Long Distance’ yawashinda, waamua kuachana

‘Long Distance’ yawashinda, waamua kuachana

Kwa mujibu wa tovuti ya ENews imeandika kwamba mahusiano ya mwanamitindo Kim Kardashian na Pete Davidson yamefika tamati baada ya kudumu kwa miezi 9 [...]
Mange Kimambi afutiwa akaunti

Mange Kimambi afutiwa akaunti

Account ya mange Kimambi iliyokuwa na wafuasi zaidi ya Million 6 imefutwa na Instagram kutokana na Kuvunja sheria za Instagram. Kupitia akaunti yak [...]
Harmonize na Kajala wafikishwa kileleni na mashabaki

Harmonize na Kajala wafikishwa kileleni na mashabaki

Hii ni ishara kwamba mashabiki wa Harmonize wanakubali sana kazi zake na ndio maana kwa hiari yao wakaamua kupanda na picha ya msanii huyo akiwa na mp [...]
1 2 3 4 5 42 30 / 414 POSTS
error: Content is protected !!