Category: Burudani

1 2 3 4 5 42 30 / 418 POSTS
Hii industry haina shukurani

Hii industry haina shukurani

Baada ya Romy Jons ambaye ni kaka wa msanii Diamond Platnumz kumuandikia barua ya wazi kwenye ukurasa wake wa Instagram akimtaka mdogo wake aachane na [...]
Ujumbe kwa Simba na Yanga kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Ujumbe kwa Simba na Yanga kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amezipongeza na kuzitaki kila heri timu za Simba na Yanga kuelekea mchezo wao wa [...]
Kizz Daniel: Kweli begi langu moja lilisahaulika Nairobi

Kizz Daniel: Kweli begi langu moja lilisahaulika Nairobi

Msanii wa nchini Nigeria, Daniel Anidugbe maarufu Kizz Daniel  amewaomba radhi Watanzania kwa kushindwa kufanya onyesho lake mkoani Dar es Salaam. [...]
Matukio aliyowahi kufanya Kizz Daniel

Matukio aliyowahi kufanya Kizz Daniel

Juni 2022: Alizua hasira nchini Zambia, nusura show yake izuiwe kufuatia dharau kwa waandishi wa habari na kumsukuma shabiki yake mmoja aliyejaribu ku [...]
Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?

Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?

Mwanamasumbwi Shabani Kaoneka amesikitishwa na kitendo cha Karim Mandonga kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari na kupata madili ya matangazo m [...]
Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize

Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize

Hatimaye mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel ametolewa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam alipokuwa amewekwa rumand [...]
Alilipwa hela kamili

Alilipwa hela kamili

Mapromota wa tamasha alilopaswa kutumbuiza msanii Kizz Daniel, Big Step Consultancy wamesema walimlipa mwanamuziki huyo hela kamili licha ya kugoma ku [...]
Kizz Daniel akamatwa

Kizz Daniel akamatwa

Staa wa muziki kutoka Nigeria @kizzdaniel amekamatwa na Polisi nchini Tanzania baada ya kugoma kutumbuiza kwenye Show licha ya kulipwa pesa nyingi. [...]
Waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel

Waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel

Kampuni ya inayohusika na uandaaji wa matamasha ya Str8up Vibes imeomba radhi kwa mashabiki baada ya msanii kutoka nchi Nigeria, Kizz Daniel kushindwa [...]
Show ya Kizz Daniel Tanzania yaingia doa

Show ya Kizz Daniel Tanzania yaingia doa

Usiku wa kuamkia leo August 8,2022 Jiji Dar es Salaam kumefanyika show ya SummerApplified ambapo msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria Kizz daniel [...]
1 2 3 4 5 42 30 / 418 POSTS
error: Content is protected !!