Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 274 30 / 2733 POSTS
Rais Samia:Chombo cha upelelezi kuundwa kufuatia ripoti ya tume

Rais Samia:Chombo cha upelelezi kuundwa kufuatia ripoti ya tume

Rais Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuundwa kwa chombo maalumu cha upelelezi kitakachoshughulikia masuala yaliyoainishwa katika ripoti ya Tume ya Uchun [...]
Jaji Chande: Hakuna ushahidi wa uwepo wa makaburi ya halaiki

Jaji Chande: Hakuna ushahidi wa uwepo wa makaburi ya halaiki

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uhalifu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mohamed Chande Othman, ame [...]
Serikali kugharamia matibabu ya waliojeruhiwa Oktoba 29

Serikali kugharamia matibabu ya waliojeruhiwa Oktoba 29

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaweka utaratibu wa kugharamikia matibabu ya majeruhi wa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mk [...]
Mizigo Bandari ya Dar imeongezeka

Mizigo Bandari ya Dar imeongezeka

Kampuni ya DP World imeripoti ongezeko kubwa la mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, likionesha mabadiliko ya msingi katika biashara ya kikanda. [...]
Mapato Bandari ya Dar yaongezeka hadi trilioni 1

Mapato Bandari ya Dar yaongezeka hadi trilioni 1

Kampuni ya DP World imesema maboresho ya ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam yameongeza mapato ya serikali kwa kasi kubwa, huku makusanyo ya kila [...]
Uzunduzi wa minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano

Uzunduzi wa minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Mawasiliano katika Uku [...]
EAC yaweka mguu chini ushirikishwaji wa wanawake katika amani, ulinzi na usalama

EAC yaweka mguu chini ushirikishwaji wa wanawake katika amani, ulinzi na usalama

Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Mabaraza ya Kisekta ya Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za M [...]
Rais Samia ashiriki Kikao cha Baraza la Uongozi wa Umoja wa Afrika

Rais Samia ashiriki Kikao cha Baraza la Uongozi wa Umoja wa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akis [...]
Serikali yatangaza mikopo ya Sh bilioni 200 kwa vijana

Serikali yatangaza mikopo ya Sh bilioni 200 kwa vijana

Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi utaratibu wa utoaji wa mikopo ya jumla ya Sh bilioni 200 kwa vijana, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza ajir [...]
Papa Leo asifu mchango wa Serikali ya Tanzania kwa kanisa

Papa Leo asifu mchango wa Serikali ya Tanzania kwa kanisa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo XIV, amepongeza mchango na ushirikiano wa Serikali ya Tanzania kwa kanisa hilo, akisema ni ishara nzuri [...]
1 2 3 4 5 274 30 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!