Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 281 30 / 2804 POSTS
Wimbi la uvamizi wa makanisa latikisa Kenya

Wimbi la uvamizi wa makanisa latikisa Kenya

Wasiwasi umeongezeka katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya kufuatia ongezeko la matukio ya uvamizi wa makanisa, hasa yale ambayo hayana walinzi. [...]
Trump atangaza mpango wa kuchukua eneo la Hormuz kuwa la Marekani

Trump atangaza mpango wa kuchukua eneo la Hormuz kuwa la Marekani

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza mpango wa kuutangaza Mlango wa Bahari wa Hormuz kuwa eneo la Marekani wakati ambapo mvutano kati ya Marekani [...]
Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji

Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
Akiri kuua baba na mama yake mdogo akiwatuhumu kwa uchawi Njombe

Akiri kuua baba na mama yake mdogo akiwatuhumu kwa uchawi Njombe

Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Jacktani Mgeni (31) kwa tuhuma za mauaji ya Alfred Mgeni (65) na mke wake Betes Msigara (55) wote wakazi w [...]
Rais Samia: Wananchi tunzeni miradi inayotekelezwa na serikali

Rais Samia: Wananchi tunzeni miradi inayotekelezwa na serikali

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo mengine kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali, akisisitiza kuwa mi [...]
Polisi kuchunguza kifo cha kijana aliyekamatwa Ngorongoro

Polisi kuchunguza kifo cha kijana aliyekamatwa Ngorongoro

Polisi Mkoa wa Arusha wanaendelea kuchunguza mazingira yaliyosababisha kifo cha Sefu Mussa (25) na kujeruhiwa kwa Salimu Haji maarufu Chambega, baada [...]
Rais Samia asema urithi bora kwa watoto ni taifa lenye amani

Rais Samia asema urithi bora kwa watoto ni taifa lenye amani

Rais Samia Suluhu Hassan amesema urithi mkubwa ambao wazazi na walezi wanapaswa kuwaachia watoto wao ni taifa lenye amani ambalo wataweza kutimiza ndo [...]
Mwabukusi: Tusiwaweke viongozi kwenye shinikizo kubwa kuhusu katiba

Mwabukusi: Tusiwaweke viongozi kwenye shinikizo kubwa kuhusu katiba

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Watanzania wanapaswa kukubaliana kwanza kuhusu umuhimu wa kuzungumza [...]
Serikali: 14% ya fedha za Bima ya Afya kwa Wote kugharamia magonjwa sugu

Serikali: 14% ya fedha za Bima ya Afya kwa Wote kugharamia magonjwa sugu

Serikali imesema asilimia 14 ya fedha zinazotengwa kupitia Bima ya Afya kwa Wote zitaelekezwa katika kugharamia matibabu ya wananchi wenye magonjwa su [...]
Rais Samia afanya mazungumzo na viongozi wa TEC

Rais Samia afanya mazungumzo na viongozi wa TEC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania [...]
1 2 3 4 5 281 30 / 2804 POSTS
error: Content is protected !!