Author: Cynthia Chacha

1 3 4 5 6 7 223 50 / 2222 POSTS
Waziri Kikwete: Utumishi wa umma ni kujibu kero za wananchi

Waziri Kikwete: Utumishi wa umma ni kujibu kero za wananchi

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema serikali imedhamiria kuwa na utumishi wa umma unaojibu cha [...]
Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Mhe. Hussein Bashe amesema takwimu za hivi karibu zinaonyesha Tanzania imekuwa mzalishaji wa pili mkubwa wa tumbaku [...]
Kenya yaomba msaada wa dawa za TB Tanzania

Kenya yaomba msaada wa dawa za TB Tanzania

Waziri wa Afya wa Kenya Susan Nakhumicha Wafula amesema kutokana na uhaba wa dawa za kutibu kifua kikuu au TB, Serikali yao ilichukua uamuzi wa kuomba [...]
Rais Samia atengua uteuzi wa kamishna wa petroli na gesi

Rais Samia atengua uteuzi wa kamishna wa petroli na gesi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Kamishna wa Petroli na Gesi, Michael Songora Mjinja. Taarifa iliyotolewa leo Januari 4, 2024, na Mkuru [...]
Bei ya mafuta yashuka

Bei ya mafuta yashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zitakazotumika [...]
Mwindaji wa mamba alifuata sheria

Mwindaji wa mamba alifuata sheria

Uchuguzi unaonesha mwindaji raia wa Marekani, Josh Bowmer katika tukio la kuuwa mamba eneo la kitalu cha Lake Rukwa GR alifuata sheria kwa kuwa na kib [...]
Rais Samia achangia Sh. milioni 150 ujenzi wa kanisa Machame

Rais Samia achangia Sh. milioni 150 ujenzi wa kanisa Machame

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakos [...]
Rais Samia afarijika kuona 58% ya wahitimu ni wanawake

Rais Samia afarijika kuona 58% ya wahitimu ni wanawake

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuleta mabadiliko chanya katika jamii mara wanapohitimu masomo yao. Ameyasema hay [...]
Kozi nne zaongezwa mikopo ya diploma 2023-2024

Kozi nne zaongezwa mikopo ya diploma 2023-2024

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Heslb) imetangaza nyongeza ya kozi mpya nne zitakazopewa kipaumbele katika utoaji wa mikopo kwa ngazi ya diploma kwa m [...]
Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Kampuni ya Avance Media katika toleo lake la tano imetoa orodha ya wanawake 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika kwa mwaka 2023. Miongoni mwao n [...]
1 3 4 5 6 7 223 50 / 2222 POSTS
error: Content is protected !!