Author: Cynthia Chacha

1 2 3 280 10 / 2794 POSTS
Rais Samia aahidi kuimarishwa kwa Gridi ya Taifa

Rais Samia aahidi kuimarishwa kwa Gridi ya Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuendelea na ujenzi wa miradi ya kuimarisha Gridi ya Taifa ili kuhakikisha umeme unaozalishwa katika Bwawa la Mwa [...]
Walimu sita washikiliwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Mara

Walimu sita washikiliwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Mara

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia walimu sita wa shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa kidato ch [...]
Watu watatu washikiliwa kwa utekaji na mauaji ya mtoto Simiyu

Watu watatu washikiliwa kwa utekaji na mauaji ya mtoto Simiyu

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia Yumba Mayala (22), Zakayo Shija (28) na Seba Buchenja (30) wote wakazi wa Malampaka kwa tuhuma za mauaji [...]
Watu saba wafikishwa Mahakamani tuhuma za wizi wa magari ya bandarini

Watu saba wafikishwa Mahakamani tuhuma za wizi wa magari ya bandarini

Watu saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuiba magari mawili yaliyokuwa yakisafiri [...]
Tanzania na DRC zakubaliana kuendeleza ushirikiano katika nyanja mbalimbali

Tanzania na DRC zakubaliana kuendeleza ushirikiano katika nyanja mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya madini, biash [...]
Atafutwa kwa mauaji ya mama na mtoto Morogoro

Atafutwa kwa mauaji ya mama na mtoto Morogoro

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamtafuta Anderson Jackson kwa tuhuma za mauaji ya Asha Lukonge (38) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Muoso, Kijiji [...]
Bodaboda kupatiwa utambulisho maalum kufuatia uhalifu wa vishandu

Bodaboda kupatiwa utambulisho maalum kufuatia uhalifu wa vishandu

Kufuatia wimbi la uhalifu unaofanywa na watu kwa kutumia pikipiki maarufu kama “vishandu,” Jeshi la Polisi mkoani Tanga limesema linapanga kuweka utam [...]
Trump atishia kuishambulia Oman kwa sababu ya Hormuz

Trump atishia kuishambulia Oman kwa sababu ya Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuishambulia Oman endapo nchi hiyo itazuia juhudi za Marekani za kufikia makubaliano na Iran kuhusu kufungul [...]
Karua: Mimi ndiye Rais ajaye wa Kenya

Karua: Mimi ndiye Rais ajaye wa Kenya

Kiongozi wa upinzani wa chama cha People’s Liberation Party (PLP), Martha Karua, amesema ana imani kuwa yeye ndiye Rais ajaye wa Kenya katika Uchaguzi [...]
1 2 3 280 10 / 2794 POSTS
error: Content is protected !!