Author: Cynthia Chacha

1 2 3 273 10 / 2726 POSTS
Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, ameishukuru Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo na utulivu wa Uganda, akimtaja Baba wa Taif [...]
Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga n [...]
Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa maadui wa mataifa ya Tanzania na Kenya si raia wa nchi hizo bali ni changamoto za kijamii na kiuchumi. “M [...]
Ruto aipongeza Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Amani Tanzania

Ruto aipongeza Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Amani Tanzania

Rais wa Kenya, Mhe. William Ruto, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitoke [...]
Rais Ruto awasili Tanzania

Rais Ruto awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto CGH, amewasili nchini Tanzania kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili Mei 4 na 5, 2026. Mheshimiwa Rut [...]
Rais Kagame atua Tanzania

Rais Kagame atua Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati ya Tanz [...]
Tanzania yahamasisha uzalishaji wa tufaha ndani ya nchi kupunguza uagizaji kutoka nje

Tanzania yahamasisha uzalishaji wa tufaha ndani ya nchi kupunguza uagizaji kutoka nje

Tanzania inahamasisha kilimo cha tufaha ndani ya nchi ili kupunguza utegemezi wa matunda yanayoagizwa kutoka nje, kwa kuzingatia fursa zilizopo katika [...]
Dkt. Samia atoa wito wa kuwa na mfumo wazi na uliodhibitiwa vyema kusimamia Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi

Dkt. Samia atoa wito wa kuwa na mfumo wazi na uliodhibitiwa vyema kusimamia Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito wa kuimarishwa kwa kanuni na mifumo ya kisheria ili kuwalinda wafanyakazi wahamiaji wa Tanzania wanaofanya kazi n [...]
Standard Chartered yapanga ufadhili wa Dola Bilioni 2.33 kwa Mradi wa Reli ya Kisasa Tanzania

Standard Chartered yapanga ufadhili wa Dola Bilioni 2.33 kwa Mradi wa Reli ya Kisasa Tanzania

Benki ya Standard Chartered imetangaza kufanikisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya dola bilioni 2.33 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisa [...]
Madini yachangia 11.9% kwenye Pato la Taifa

Madini yachangia 11.9% kwenye Pato la Taifa

Serikali imesema mchango wa sekta ya madini kwenye Pato la Taifa umeongezeka kutoka 10.1% kwa mwaka 2024 hadi 11.9% kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka [...]
1 2 3 273 10 / 2726 POSTS
error: Content is protected !!