Author: Cynthia Chacha

1 2 3 274 10 / 2733 POSTS
Rais Samia: Polisi epukeni vitendo vya rushwa

Rais Samia: Polisi epukeni vitendo vya rushwa

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa wa Jeshi la Polisi kuhakikisha wanajenga taswira njema ya [...]
Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika

Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahutubia washiriki wakati wa Hafla Rasmi ya Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Nishat [...]
Bei ya mafuta yasababisha mgomo wa magari Kenya

Bei ya mafuta yasababisha mgomo wa magari Kenya

Wamiliki wa magari ya uchukuzi wa umma nchini Kenya wameanza mgomo leo Jumatatu wakipinga nyongeza ya bei ya mafuta iliyotangazwa wiki iliyopita. P [...]
CCM: Siasa zitumike kutuunganisha

CCM: Siasa zitumike kutuunganisha

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema siasa zitumike kuunganisha watu, zilete upendo na umoja na wazikatae siasa za chuki na wanasiasa wanaotafuta umaaru [...]
Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania

Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, hatua iliyosababisha Kenya kuwa na bei kubwa [...]
IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania

IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimekubaliana katika ngazi ya wataalamu ukamilishaji wa tathmini za mwisho za mpango wa uf [...]
Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81

Usafiri wa Anga Tanzania wakua kwa asilimia 12.63, abiria wafikia milioni 6.81

Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 12.63 na kufikia abiria milioni 6.81 katika mwaka wa fedha 2025/26 [...]
Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Museveni: “Msiisahau Tanzania”

Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, ameishukuru Tanzania kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo na utulivu wa Uganda, akimtaja Baba wa Taif [...]
Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Ujenzi wa bomba la mafuta waingia hatua za mwisho

Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga n [...]
Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa maadui wa mataifa ya Tanzania na Kenya si raia wa nchi hizo bali ni changamoto za kijamii na kiuchumi. “M [...]
1 2 3 274 10 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!