Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 6 274 40 / 2733 POSTS
Serikali kuchambua mapendekezo 284 ya maboresho ya kodi kabla ya utekelezaji

Serikali kuchambua mapendekezo 284 ya maboresho ya kodi kabla ya utekelezaji

Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafanya uchambuzi wa kina wa mapendekezo 284 ya maboresho ya mifumo ya kodi kabla ya kuan [...]
SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutum [...]
Ripoti za Amnesty na HRW zakosolewa na serikali ya Tanzania

Ripoti za Amnesty na HRW zakosolewa na serikali ya Tanzania

Serikali ya Tanzania imekosoa ripoti za Amnesty International (AI) na Human Rights Watch (HRW) kuhusu matukio ya vurugu yaliyojitokeza wakati wa Uchag [...]
Tanzania na Uganda zaainisha maeneo ya ushirikiano wa kimkakati

Tanzania na Uganda zaainisha maeneo ya ushirikiano wa kimkakati

Tanzania na Uganda zimekutana kupitia maeneo ya ushirikiano wa maendeleo ya pamoja ya kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizo mbili rafiki, katika Mkuta [...]
Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makaz [...]
Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kushika nafasi ya 34 kati ya mae [...]
Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Samoei Ruto, ameipongeza Tanzania kwa mafanikio ya mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge Railway (SGR) Aki [...]
Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi kuanzia machi 2026 hadi 2028. Rais Muse [...]
ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na Dubai siku ya Jumapili, Machi 8, 2026, kwa leng [...]
Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
1 2 3 4 5 6 274 40 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!