Category: Siasa
Tanzania na DRC zakubaliana kuendeleza ushirikiano katika nyanja mbalimbali
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya madini, biash [...]
Karua: Mimi ndiye Rais ajaye wa Kenya
Kiongozi wa upinzani wa chama cha People’s Liberation Party (PLP), Martha Karua, amesema ana imani kuwa yeye ndiye Rais ajaye wa Kenya katika Uchaguzi [...]
Kizimkazi yapiga hatua kimaendeleo, Rais Samia awakaribisha wawekezaji
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limekuwa sehemu muhimu ya safari ya maendeleo na ustawi wa wananchi wa Wilaya ya Kusini, maeneo [...]
Rais Samia: Wananchi tunzeni miradi inayotekelezwa na serikali
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo mengine kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali, akisisitiza kuwa mi [...]
Rais Samia asema urithi bora kwa watoto ni taifa lenye amani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urithi mkubwa ambao wazazi na walezi wanapaswa kuwaachia watoto wao ni taifa lenye amani ambalo wataweza kutimiza ndo [...]
Mwabukusi: Tusiwaweke viongozi kwenye shinikizo kubwa kuhusu katiba
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Watanzania wanapaswa kukubaliana kwanza kuhusu umuhimu wa kuzungumza [...]
UVCCM: Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zi [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]
Ahadi za Rais Dkt. Samia zawagusa wakulima na wafugaji Igunga
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan amenadi sera na ahad [...]
CCM kufufua kiwanda cha viwanda Morogoro
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ahadi yake ya k [...]

