Hii hapa orodha ya Baraza la Mawaziri lililotangazwa na Rais Samia Suluhu

HomeKitaifa

Hii hapa orodha ya Baraza la Mawaziri lililotangazwa na Rais Samia Suluhu

Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Waziri – Mh. Ridhiwani Jakaya Kikwete
Naibu – Regina Ndege Kwarai

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri – Prof. Kitila Mkumbo
Naibu – Pius Steven Chaya

Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana
Waziri – Joel Nanauka

Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Waziri – Mh. Mhandisi Hamadi Masauni
Naibu – Dkt. Festo Dugange

Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu
Waziri – Mh. William Lukuvu
Naibu – Ummy Nderiananga

Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano
Waziri – Mh. Deus Sangu
Naibu – Mh. Rahma Riadh Kisuo

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Waziri – Mh. Prof. Riziki Sailas Shemdoe
Naibu – Mh. Reuben Nhamanilo (Elimu)
Naibu – Mh. Dr. Jaffar Rajab Seif (Afya)

Wizara ya Fedha
Waziri – Mh. Balozi Khamis Musa Omar
Naibu – Mh. Laurent Deogratius Luswetula
Naibu – Mh. Mshamu Ally Munde

Wizara ya Mambo ya Nje
Waziri – Mahmood Thabit Kombo
Naibu – Dkt. Ngwaru Jumanne Magembe
Naibu – Mh. James Kinyasi Millya

Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri – Boniface Simbachawene
Naibu – Denis Lazaro Londo

Wizara ya Kilimo
Waziri – Daniel Chongolo
Naibu Waziri – Mh. David Silinde

Wizara ya Maji
Waziri – Mh Juma Aweso
Naibu Waziri – Mh. Kundo Andrew Mathew

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri – Mh. Raymond Simon Nyansao

Wizara ya Ujenzi
Waziri – Abdallah Ulega
Naibu – Mh. Godfrey Msonge

Wizara ya Uchukuzi
Waziri – Prof Makame Mbarawa
Naibu – Mh. David Mwakiposa

Wizara ya Viwanda na Biashara
Waziri – Mh. Judith Salvio Kapinga
Naibu – Mh. Patrobas Katambi

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Waziri – Mh. Angela Kairuki
Naibu – Mh. Sweetbert Zakaria Mkama

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Waziri – Dorothy Gwajima
Naibu – Mh. Marry Mahundi

Wizara ya Afya
Waziri – Mohammed Gwajima
Naibu – Dkt. Florance George Samizi

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
Waziri – Prof. Adolf Mkenda
Naibu – Wanu Hafidh Ameir

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Waziri – Dkt. Leonard Akwilapo
Naibu – Kasper Kasper Muya

Wizara ya Mali Asili na Utalii
Waziri – Mh. Asha Kijaji
Naibu – Hamad Hassan Chade

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Waziri – Prof. Palamagamba Kabudi
Naibu – Hamisi Mwinjuma
Naibu – Paul Makonda

Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Waziri – Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
Naibu – Mh. Ngwasi Damas Kamani

Wizara ya Madini
Waziri – Anthony Peter Mavunde
Naibu – Mh. Dkt. Steven Lemomo Kiruswa

Wizara ya Nishati
Waziri – Mh. Deogratius Ndejembi
Naibu – Salome Makamba

Wizara ya Katiba na Sheria
Waziri – Mh. Juma Homera
Naibu – Zainab Athuman Katimba

error: Content is protected !!