Tag: Bunge la Tanzania
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]
Uhusiano wa Tanzania na China ni endelevu
Rais Samia Suluhu amekutana na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Bei [...]
Rais Samia kufanya ziara China Septemba 02 hadi 06, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Jamhuri ya Watu wa China kuanzia leo tareh [...]
Rais Samia ahimiza jamii kuwalea watoto wakike katika maadili mema
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza mashindano ya dunia ya Qur'an Tukufu kwa wasichana yaliyofanyika katika Uwanja wa Taifa wa Benjamin [...]
Rais Samia: Shirika kama halifanyi vizuri liondoke
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa mashirika ya umma yasiyofanya kazi kwa tija hayana budi kufutwa. Akizungumz [...]
Fahamu dalili za Mpox na jinsi unavyoambukizwa
Mpox (ambayo zamani ilijulikana kama monkeypox) ni ugonjwa nadra lakini unaweza kuwa na madhara makubwa unaosababishwa na virusi vya Mpox. Maambukizi [...]
Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa
Jeshi la Polisi limewaachia mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na viongozi wao wakuu baada ya kuwakamata ndani ya [...]
Rais Samia : Hongereni wakulima, wafugaji na wavuvi
Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza wakulima, wafugaji, na wavuvi kwa juhudi zao kubwa zinazochangia katika maendeleo ya sekta ya kilimo, mifugo, na [...]
Rais Samia azindua Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ahimiza ushirikiano na sekta binafsi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kutekeleza ahadi zake kwa vitendo baada ya kuzindua Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kilichopo mkoani [...]
Morogoro wamkosha Rais Samia, aahidi kurudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akikaribia kumaliza rasmi ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Morogoro, ametoa shuk [...]

