Tag: Bunge la Tanzania

1 5 6 7 8 9 78 70 / 775 POSTS
Waziri Kombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya FOCAC

Waziri Kombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya FOCAC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Wara [...]
Tanzania kuzisaidia nchi tisa masuala ya utabiri hali ya hewa

Tanzania kuzisaidia nchi tisa masuala ya utabiri hali ya hewa

Kutokana na Mamlaka ya Hewa Tanzania (TMA) kuendelea kuhimili viwango vya utoaji huduma kimataifa, Tanzania kupitia TMA imepewa jukumu la kusaidia nch [...]
MSD yapokea bilioni 100 kwa ajili ya kuongeza uzalishaji

MSD yapokea bilioni 100 kwa ajili ya kuongeza uzalishaji

Bohari ya Dawa (MSD), imepokea zaidi ya shilingi bilioni 100 ikiwa ni mtaji wa kuimarisha uwezo wake wa kifedha kwa kuongeza uzalishaji wa dawa na upa [...]
Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania aanza ziara ya kikazi nchini China

Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania aanza ziara ya kikazi nchini China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewasili jijini Beijing, China tarehe 9 Juni 2025 [...]
Zaidi ya shule 20,000 za msingi na 5,000 za sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika

Zaidi ya shule 20,000 za msingi na 5,000 za sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika

Serikali imesema kuwa shule 5,311 za Sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika, huku pia shule 20,509 za msingi zina vyanzo vya maji ya uhakika. K [...]
Ndege ya kudhibiti visumbufu vya mazao aina ya Thrush 510P2+ yanunuliwa na Serikali

Ndege ya kudhibiti visumbufu vya mazao aina ya Thrush 510P2+ yanunuliwa na Serikali

Serikali ya Tanzania imenunua ndege aina ya Thrush 510P2+ ambayo itatumika katika kudhibiti visumbufu vya mazao, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuonge [...]
Lesotho yajifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi wa nishati

Lesotho yajifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi wa nishati

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati ya Lesotho, Bwana Tonkiso Phapano, ameongoza ujumbe maalum nchini Tanzania kwa ziara ya kimafunzo kuhusu usimamizi wa [...]
Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA

Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kuongeza nafasi za ajira 300 katika mamlaka hiyo. Taarifa ya Mk [...]
Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kukua na kuimarika katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia am [...]
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya aunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya aunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu

Waziri wa Mambo ya Nje Musalia Mudavadi amekiri kuwa ukosoaji wa hivi majuzi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu tabia ya Wakenya huenda un [...]
1 5 6 7 8 9 78 70 / 775 POSTS
error: Content is protected !!