Tag: habari kubwa za michezo

1 2 3 4 5 6 123 40 / 1222 POSTS
Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Mtandao wa U.S. News & World Report unaojihusisha na maswala ya safari na utalii umetaja maeneo 20 muhimu kwa watalii kutembelea Afrika 2025 ambap [...]
Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali ya Tanzania imetangaza ajira 3,633 za walimu wa masomo mbalimbali ikiwemo ya Biashara, Ushonaji, Uashi, Umeme, Ufundi magari, Uchomeleaji na [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,548 kwa vigezo mbalimbali ambapo 22 kati yao wanaachiliwa huru tarehe 9 Disemba, 2024 na 1,526 [...]
Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ataunda Tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masua [...]
Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo alipokuwa [...]
Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imewaonya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za M [...]
Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza eneo la biashara ambalo ghorofa lilianguka Novemba 16, Kariakoo Dar es Salaam, lifungwe na kusiwe na biashara yoyote [...]
Rais Samia aongeza muda wa uokoaji Kariakoo

Rais Samia aongeza muda wa uokoaji Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongeza saa 24 za uokoaji katika jengo lililoporomoka eneo la Kariakoo Novemba 16, m [...]
Rais Samia: Poleni wananchi Kariakoo

Rais Samia: Poleni wananchi Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam, Jeshi la Polisi, Zimamoto na Hospitali ya Muhimbili sambamba na menejime [...]
Rais Samia kushiriki Mkutano wa G20 Brazil

Rais Samia kushiriki Mkutano wa G20 Brazil

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Brazil kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama [...]
1 2 3 4 5 6 123 40 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!