Tag: habari magazetini
Rais Samia azindua Daraja la Berega, aahidi kuboresha miundombinu na kuimarisha uchumi wa wananchi
Mkoani Morogoro, Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro kwa kuzindua Daraja la Berega, mradi ambao unatajwa kuwa na mch [...]
Changamoto za Teknolojia Mpya: Kutoka Beijing-Shanghai hadi SGR ya Tanzania
Katika ulimwengu wa usafiri wa kisasa, treni za mwendokasi zimekuwa alama ya maendeleo ya teknolojia. Hata hivyo, tukio la kukatika kwa umeme kwenye r [...]
Kiongozi mkuu wa Hamas auawa
Kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas la Palestina Ismail Haniyeh ameuwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, vyombo vya Habari vya serikali ya Iran vimes [...]
Rais Samia: Uchumi wetu ni himilivu
Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea mafanikio makubwa ambayo Tanzania imeyapata katika kuimarisha uchumi na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji na [...]
Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto
Nairobi, Kenya - Shirika la hisani la kimataifa lenye makao yake Marekani, Ford Foundation, limekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba limefadhili [...]
Mchechu: Taasisi zote za umma zitaanza kuchapisha taarifa za kifedha
Serikali ya Tanzania, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina, imetangaza kuwa taasisi zote za umma nchini zitaanza kuchapisha taarifa zao za kifedha.
M [...]
Serikali yajizatiti kukuza sekta ya kilimo na kuboresha huduma za Afya
Katavi, Tanzania - Katika ziara yake mkoani Katavi leo Julai 14,2024 , Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza hatua muhimu zinazochukuliwa na serikali ya [...]
Shilingi bilioni 2 za kuwasha majenereta Katavi zaokolewa
Rais Samia Suluhu Hassan ametembela Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme wa Gridi wa Taifa kilichopo Inyonga mkoani Katavi na kisha kuzungumza na wananch [...]
Tanzania kupokea zaidi ya dola milioni 900 kutoka IMF
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia taarifa yake iliyotoka Juni 20,2024 imesema kwamba bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola mil [...]
Rais wa Guinea kufanya ziara ya siku tatu Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau na Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Mheshimiwa Umaro Sissoco [...]

