Tag: habari magazetini
Asilimia 0.7 Tu: EU Sio Tegemeo la Bajeti ya Tanzania
Siku moja baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kupitisha azimio la kusitisha msaada wa Euro milioni 156 (takriban Sh bilioni 400) uliokuwa umetengwa kwa ajili [...]
Tanzania, Korea kushirikiana kiuchumi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania Korea (T [...]
Tanzania sasa ina umeme wa kutosha
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha na hivyo ukamilifu wa Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerer [...]
Bunge la Tanzania lairishwa, kurejea Januari 27, 2026
Baada ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kumaliza kulifungua rasmi na kulihutubia Bunge leo Novemba 14, 2025 jijini Dodoma, shughuli za Bunge z [...]
UVCCM: Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zi [...]
Ruto amlilia Raila, atangaza siku 7 za maombolezo
Rais William Ruto amewaongoza Wakenya katika kuomboleza kifo cha kiongozi wa ODM Raila Odinga.
Waziri mkuu huyo wa zamani alifariki katika kituo ch [...]

Moshi mweusi watanda urais wa Mpina
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, ikisema haukufuat [...]

Rais Samia: Haki izingatiwe Uchaguzi Mkuu 2025
Rais Samia Suluhu Hassan ameutaka umma wa Watanzania na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha haki inasimamiwa kikamilifu katika uchaguzi m [...]
Madai ya Polepole yakanushwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wa uchaguzi unaotumika na Tume hiyo umeunganishwa na mfumo wa Mamlaka ya [...]
TRC kumwaga ajira 2,460 SGR
Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya Kutoka Dar e [...]

