Tag: habari magazetini
Rais Samia: Kwaheri King Kikii
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, wasanii pamoja na wapenzi wa muziki kufuatia kifo cha mwanamuziki [...]
Rais Samia aipa TANROADS zaidi ya bilioni 500 ujenzi wa miundombinu Dar
Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan zaidi ya Shilingi Bilioni 500 zimeto [...]
Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linamshikilia Derick Junior (36) Mkazi wa Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujeruhi n [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
Rais Samia awapatia gari wanafunzi wa Shule ya Samia Namtumbo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekubali ombi la kuwapatia gari la shule wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Ha [...]
Rais Samia: Tunatekeleza Ilani kwa vitendo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amesema serikali yake ya awamu ya sita inafanya kazi kwa kuzingatia maagaizo yaliyotolewa na [...]
Rais Samia: Tusikubali kugawanywa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kuweka mbele maslahi ya taifa na kukataa migawanyiko ya kisia [...]
Orodha ya majina ya viongozi wa Chadema na wananchi waliokamatwa
Jeshi la Polisi limetoa orodha ya majina ya watuhumiwa waliokamatwa kwa kosa la kwenda kinyume na katazo la kufanya maandano.
[...]
Nafasi 600 za kazi zatangazwa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) anakaribisha maombi [...]
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]

