Tag: habari magazetini
Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA
Jeshi la Polisi limepiga marufuku na kutoa onyo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kuji [...]
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) umekuwa na mvutono mkubwa kitaifa na kimataifa.
Ili kuelewa hali ya sasa, ni [...]
Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini
Uwekezaji bandarini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, umeanza kuonyesha matunda makubwa baada ya serikali ya Tanzania kuokoa kiasi cha dol [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC
Rais Samia Suluhu anatarajia kuhudhuria Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC) utakaofanyika Ago [...]
Rais Samia Suluhu afanya uteuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyo [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox
Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Rais Samia: Maafisa ugani ni mashujaa
Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kutambua na kupongeza juhudi za maafisa ugani na maafisa ushirika katika kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo nc [...]
Mwendokasi Gerezani- Mbagala kuanza Novemba mwaka huu
Huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi katika njia ya Gerezani hadi Mbagala, jijini Dar es Saalam, unatarajiwa kuanza Novemba [...]
Ziara za Rais Samia nje ya nchi zaleta matunda
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imechukua hatua kubwa kwa kutenga hekari 80 za ardhi huko Zanziba [...]
Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi bwawa kubwa la umwagiliaji linalohusishwa na kiwanda cha sukari cha Mtibwa, ambalo linatajwa ku [...]

