Tag: habari za burudani
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC
Rais Samia Suluhu anatarajia kuhudhuria Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC) utakaofanyika Ago [...]
Rais Samia Suluhu afanya uteuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyo [...]
Rais Samia azindua Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ahimiza ushirikiano na sekta binafsi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kutekeleza ahadi zake kwa vitendo baada ya kuzindua Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kilichopo mkoani [...]
Morogoro wamkosha Rais Samia, aahidi kurudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akikaribia kumaliza rasmi ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Morogoro, ametoa shuk [...]
Ziara za Rais Samia nje ya nchi zaleta matunda
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imechukua hatua kubwa kwa kutenga hekari 80 za ardhi huko Zanziba [...]
Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi bwawa kubwa la umwagiliaji linalohusishwa na kiwanda cha sukari cha Mtibwa, ambalo linatajwa ku [...]
Rais Samia azindua Daraja la Berega, aahidi kuboresha miundombinu na kuimarisha uchumi wa wananchi
Mkoani Morogoro, Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro kwa kuzindua Daraja la Berega, mradi ambao unatajwa kuwa na mch [...]
Kiongozi mkuu wa Hamas auawa
Kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas la Palestina Ismail Haniyeh ameuwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, vyombo vya Habari vya serikali ya Iran vimes [...]
Rais Samia awahimiza viongozi wateule kusimamia uhuru wa habari na maendeleo ya kidigitali
Dar es Salaam, Tanzania - Rais Samia Suluhu Hassan leo amewaapisha viongozi wapya katika sherehe iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam. Akihutubia wakati [...]
Rais Samia azindua maghala na vihenge Rukwa, aahidi uboreshaji wa sekta ya kilimo
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua maghala ya kuhifadhi nafaka mkoani Rukwa, katika jitihada za kukuza sekta ya kilimo nchini. Akizungumza katika [...]

