Tag: habari za kimataifa

1 2 3 164 10 / 1634 POSTS
Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM

Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba mpya ya vikao vya uteuzi wa watia nia wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani ili kufanikisha mchakato wa [...]
Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%

Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%

Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mkoa wa Geita umepata mafanikio makubwa yaki [...]
Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma

Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma

Serikali kupitia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa Sh bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za [...]
Tanzania na Misri kupanua wigo wa ushirikiano

Tanzania na Misri kupanua wigo wa ushirikiano

Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika na Mkutano wa Saba wa Umoja wa Afrika wa Uratibu, Waziri wa Mambo ya N [...]
Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU

Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika kikao cha 47 cha Baraza la Mawazir [...]
Tanzania na Ethiopia zasimika mikakati ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi

Tanzania na Ethiopia zasimika mikakati ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi

Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Mawaziri wa Umoja wa Afrika, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud [...]
Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma

Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatu [...]
Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga

Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga

Ujenzi wa daraja la mawe eneo la Mto Mmbaga unaounganisha kijiji cha Jema na kata ya Oldonyosambu wilayani Ngorongoro umesaidia kuondoa changamoto kwa [...]
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]
1 2 3 164 10 / 1634 POSTS
error: Content is protected !!