Tag: habari za kimataifa
Fahamu Maeneo Maalumu ya Kiuchumi yaliyozinduliwa na Serikali
Serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imezindua rasmi Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (SEZs) yenye lengo la [...]
Waziri Mkuu akagua mabasi, miundombinu ya mradi wa BRT Awamu ya Pili
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Agosti 13, 2025 amekagua mabasi mapya kwa ajili ya awamu ya pili mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT-2) pamoja n [...]
Shilingi bilioni 86.31 zakusanywa siku ya kwanza ya Harambee ya CCM
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekusanya zaidi ya Sh bilioni 86.31 katika siku ya kwanza ya kampeni yake ya kuchangishana inayolenga kukusanya Sh bilioni [...]
CCM yazindua Harambee ya kuchagia fedha kwa ajili ya kampeni
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi harambee ya kitaifa kwa lengo la kuchangia fedha za kufanikisha kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 [...]
Rais Samia azindua mwelekeo mpya wa kilimo katika Maadhimisho ya Nanenane Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka wazi dhamira ya Serikali ya kuendeleza mageuzi makubwa katika sekta ya [...]
Rais Samia Suluhu aleta mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuonesha dhamira thabiti ya kuimarisha sekta ya kilimo nchini kwa k [...]
Mpina ahamia ACT Wazalendo
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amehamia rasmi chama cha ACT Wazalendo leo Agosti 5, 2025.
Mp [...]
Tanzania na Rwanda zaimarisha ushirikiano kwa kusaini hati mbili za makubaliano
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kig [...]
Taasisi 88 zapatiwa vibali kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025
Jumla ya Taasisi za ndani 76 na nje 12 zimepata kibali cha kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba [...]
Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba mpya ya vikao vya uteuzi wa watia nia wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani ili kufanikisha mchakato wa [...]