Tag: habari za kimataifa

1 14 15 16 17 18 164 160 / 1636 POSTS
Tazama hapa Video 10 za Tanzania zinazo-trend YouTube leo Septemba 20, 2023

Tazama hapa Video 10 za Tanzania zinazo-trend YouTube leo Septemba 20, 2023

Hizi hapa nyimbo zinazotikisa katika mtandao wa Youtube na chati mbalimbali hapa Tanzania. Usikubali kupitwa na ngoma hizi mpya tazama kupitia hapa ; [...]
Rais Samia azindua kiwanda cha nne kwa ukubwa Afrika

Rais Samia azindua kiwanda cha nne kwa ukubwa Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha kuzalisha vioo kilichopo katika wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani kinachotarajiwa kutoa ajira [...]
Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia Suluhu amegawa boti 34 kati ya 160 zilizonunuliwa na Serikali kwa wavuvi na wakulima wa mwani ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa [...]
Rais Samia awasogezea huduma bora za afya wananchi wa Lindi

Rais Samia awasogezea huduma bora za afya wananchi wa Lindi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 19 Septemba 2023 anatarajia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Li [...]
Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani Mtwara ambapo Ziara [...]
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kukuza utalii wa matibabu

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kukuza utalii wa matibabu

Rais Samia Suluhu amezindua Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini Mtwara ambayo itakuwa ikitoa huduma za kibingwa na kibobezi. Hospitali h [...]
Wananchi wa Newala wampa Rais Samia maua yake

Wananchi wa Newala wampa Rais Samia maua yake

Baadhi ya wafanyabiashara wa Wilaya ya Newala wamepongeza na kumshukuru Mhe: Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kufungua mipaka ya kuingia na kutoka nchi [...]
Yanayoendelea kwenye mikutano ya hadhara si dhamira ya kuruhusiwa kufanyika

Yanayoendelea kwenye mikutano ya hadhara si dhamira ya kuruhusiwa kufanyika

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kukasilishwa na mwenendo wa mikutano ya hadhara miezi kadhaa tangu airuhusu tena tangu ya kuwa imefungiwa baada ya [...]
Rais Samia : Mchengerwa ni bingwa wa mabadiliko

Rais Samia : Mchengerwa ni bingwa wa mabadiliko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempongeza Waziri mpya wa OR- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa kwa kuleta mabadili [...]
Rais Samia: Wananchi toeni maoni Dira ya Maendeleo 2050

Rais Samia: Wananchi toeni maoni Dira ya Maendeleo 2050

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kushiriki katika mchakato wa maandalizi ya Dira ya Maendeleo ya 2050 ili kupata dira jumuishi itakayokid [...]
1 14 15 16 17 18 164 160 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!