Tag: habari za kimataifa

1 14 15 16 17 18 171 160 / 1707 POSTS
Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA

Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA

Jeshi la Polisi limepiga marufuku na kutoa onyo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kuji [...]
Uhusiano wa Tanzania na China ni endelevu

Uhusiano wa Tanzania na China ni endelevu

Rais Samia Suluhu amekutana na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Bei [...]
Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika

Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa mafanikio yake makubwa kat [...]
Rais Samia ahimiza jamii kuwalea watoto wakike katika maadili mema

Rais Samia ahimiza jamii kuwalea watoto wakike katika maadili mema

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza mashindano ya dunia ya Qur'an Tukufu kwa wasichana yaliyofanyika katika Uwanja wa Taifa wa Benjamin [...]
Jeshi la Polisi labaini mpango wa CHADEMA wa kuvamia vituo vya polisi

Jeshi la Polisi labaini mpango wa CHADEMA wa kuvamia vituo vya polisi

Kufuatia tamko la Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) wanas [...]
Rais Samia: Shirika kama halifanyi vizuri liondoke

Rais Samia: Shirika kama halifanyi vizuri liondoke

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa mashirika ya umma yasiyofanya kazi kwa tija hayana budi kufutwa. Akizungumz [...]
Rais Samia: Nendeni mkajiongeze na kuviishi viapo vyenu

Rais Samia: Nendeni mkajiongeze na kuviishi viapo vyenu

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi aliowateua hivi karibuni kwenda kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi na kuishi kwa kufuata viapo wal [...]
Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Jeshi la Polisi limewaachia mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na viongozi wao wakuu baada ya kuwakamata ndani ya [...]
Rais Samia: Wazazi waacheni watoto wasome

Rais Samia: Wazazi waacheni watoto wasome

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Ifakara na Mlimba kuhakikisha watoto wao wanapata elimu kwa manufaa ya jamii na taifa kwa [...]
Ziara za Rais Samia nje ya nchi zaleta matunda

Ziara za Rais Samia nje ya nchi zaleta matunda

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imechukua hatua kubwa kwa kutenga hekari 80 za ardhi huko Zanziba [...]
1 14 15 16 17 18 171 160 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!