Tag: habari za kimataifa
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]
TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 (Julai 2024 - Juni 2025 ) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilion [...]
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza kati ya Dar Es Salaam na Dodoma.
Treni hiyo yenye jumla ya mabehewa 10 imebeba mizig [...]
Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 hadi 2024/2025 jumla ya zahanati 1,158 zimejengwa na kusajiliwa na zinatoa huduma.
Naibu Waziri, Ofisi [...]
Serikali yawarejesha watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewarejesha salama nchini Watanzania 42 waliokuwa wakiishi Israel na Iran kufuatia mvutano wa kijeshi una [...]
Siku 7 za kazi Kanda ya Ziwa: Mama aacha alama kwenye maisha ya wananchi
Ziara ya siku saba (Juni 15 - Juni 21, 2025) ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya Simiyu na Mwanza imebadili maisha ya wananchi wa m [...]
CADFUND yaahidi kuendelea kuipa Tanzania kipaumbele
Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo Kati ya China na Afrika (China-Africa Development Fund) umeahidi kuendelea kuipa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kip [...]
Sh bil 69/- kutekeleza chanjo, utambuzi mifugo
SERIKALI imetoa Sh bilioni 69 kwa awamu ya kwanza katika kuhakikisha Wizara ya Mifugo inaendesha kampeni ya kutoa chanjo na kutambua mifugo yote iliyo [...]
Serikali na Sekta Binafsi kuendesha mradi wa mabasi ya mwendokasi
Serikali imesema imesaini mikataba minne yenye thamani ya Sh bilioni 681.53 kwa ajili ya kuboresha huduma ya usafiri katika mradi wa mabasi yaendayo h [...]