Tag: habari za kimataifa

1 2 3 4 5 171 30 / 1706 POSTS
Serikali imetoa shilingi bilioni 2 kuwawezesha watengeneza maudhui mitandaoni

Serikali imetoa shilingi bilioni 2 kuwawezesha watengeneza maudhui mitandaoni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa ma [...]
Zaidi ya shilingi bilioni 25 kusambaza umeme katika vitongoji 159 Lindi

Zaidi ya shilingi bilioni 25 kusambaza umeme katika vitongoji 159 Lindi

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 25.8 wa kusambaza umeme katika vitongoji 159 utakaonufaisha ka [...]
Upandaji wa miti ni nguzo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Upandaji wa miti ni nguzo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ya tabia nchi si nadharia bali ni uhalisia unaoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote. Akizungumz [...]
Tanzania iko mbioni kuanza ujenzi wa Kituo cha Teknolojia ya Madini Mkakati utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 40

Tanzania iko mbioni kuanza ujenzi wa Kituo cha Teknolojia ya Madini Mkakati utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 40

Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakati wa kikao na mazungumzo na Ujumbe maalum wa wataalamu sita wa madini kutoka Korea Ku [...]
Mikopo 193 yafungua milango ya ajira 820 kwa vijana

Mikopo 193 yafungua milango ya ajira 820 kwa vijana

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) imetoa mikopo 193 yenye thamani ya zaidi ya Shili [...]
Bima ya Afya kwa Wote shilingi 150,000 kwa kaya na wasio na uwezo kugharamiwa na Serikali

Bima ya Afya kwa Wote shilingi 150,000 kwa kaya na wasio na uwezo kugharamiwa na Serikali

Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito [...]
MV Anthia kutoka China yatia nanga Bandari ya Mtwara

MV Anthia kutoka China yatia nanga Bandari ya Mtwara

Bandari ya Mtwara imeendelea kuhudumia meli za aina mbalimbali ambapo tarehe 18.01.2026 imepokea meli ya mizigo ya MV ANTHIA iliyobeba shehena ya maga [...]
Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi nchini Zam [...]
Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera tarehe 16 Januari 2026, ikifuatiwa [...]
Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndan [...]
1 2 3 4 5 171 30 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!