Tag: habari za kimataifa
Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmshauri ya Manispaa ya [...]
Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni w [...]
Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi
Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi mkubwa [...]
Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Mamlaka za Mpito nchini Venezuela zitakabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta ya ubora wa [...]
Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro
Mamlaka za Tanzania zimewakamata raia watano wa Kenya, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, baada ya kuvuka mpaka katika eneo la Horohoro kwa lengo la k [...]
Taarifa Rasmi kuhusu Tanzania Kuwekwa katika Kundi la Vikwazo vya Kuingia nchini Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuufahamisha umma kuwa Ser [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025
√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo
Na GULATONE MASIGA
Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]
Rais Samia Suluhu amlilia Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mha [...]
Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko
Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro.
[...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza
Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran.
Akiongea mara baada ya k [...]

