Tag: habari za kimataifa

1 3 4 5 6 7 165 50 / 1643 POSTS
Migogoro zaidi ya 20,000 yapokelewa Kampeni ya Samia

Migogoro zaidi ya 20,000 yapokelewa Kampeni ya Samia

Wizara ya Katiba na Sheria imesema migogoro 24,691 iliyodumu kwa muda mrefu ilipokelewa kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), a [...]
Rais Samia azindua Benki ya Ushirika kwa ajili ya kuimarisha Sekta ya Kilimo na Ushirika

Rais Samia azindua Benki ya Ushirika kwa ajili ya kuimarisha Sekta ya Kilimo na Ushirika

Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na jitihada za kuimarisha sekta ya ushirika na kilimo nchini kwa kuzindua benki ya kwanza ya ushirika, inayomiliki [...]
4R isiwe kisingizio kuvunja sheria

4R isiwe kisingizio kuvunja sheria

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutotumia falsafa ya 4R (Maridhiano, Mageuzi, Ustahimilivu na Kujenga Upya) kama kisingizio cha kuvunja [...]
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco

Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu [...]
Rais Samia atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis

Rais Samia atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa waumini wa Kanisa Katoliki ndani na nje ya nchi kufuat [...]
Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro

Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi wa picha mjongeao (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandano ya kijamii ya Aprili 20, 2 [...]
Tanzania kuiwekea vikwazo Afrika Kusini na Malawi kuhusu biashara ya bidhaa za kilimo

Tanzania kuiwekea vikwazo Afrika Kusini na Malawi kuhusu biashara ya bidhaa za kilimo

Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe, ametangaza kuwa Tanzania itazuia uingizwaji wa mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kus [...]
Rais Samia Suluhu kuwa mgeni rasmi katika tuzo za ‘Samia Kalamu’ Dodoma

Rais Samia Suluhu kuwa mgeni rasmi katika tuzo za ‘Samia Kalamu’ Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za ‘Samia Kalamu’ zitak [...]
Tanzania yaondoa sharti la kulipia viza ya utalii kwa raia wa Angola

Tanzania yaondoa sharti la kulipia viza ya utalii kwa raia wa Angola

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali ya Tanzania itaondoa sharti la kulipia viza ya kitalii kwa Raia wa Angola kuingia Tanzania, kama amb [...]
Usafiri Somanga warejea

Usafiri Somanga warejea

Usafiri umerejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiri baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya [...]
1 3 4 5 6 7 165 50 / 1643 POSTS
error: Content is protected !!