Tag: habari za kimataifa

1 5 6 7 8 9 165 70 / 1643 POSTS
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC

Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC

Dar es Salaam, 8 Februari 2025 – Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekubaliana juu ya h [...]
CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Chama cha Mapinduzi, kimedhamiria kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni wa uadilifu na [...]
Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kupokea The Gates Goalkeepers Award, tuzo inayotolewa na Bill & Melinda Gates F [...]
Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika. Pia, AfDB imesifu juhud [...]
Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Liberia, Mhe. Joseph Boakai ni miongoni mwa marais wa Afrika 19 ambao wameshawasili jijini Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Wakuu [...]
Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa Thulisile Dladla, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2024

Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2024

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024. Katibu Mtendaji wa [...]
Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Bandari kubwa zaidi nchini Msumbiji imeripotiwa kushuka kibiashara kwa mwaka 2024 kutokana na vurugu za uchaguzi. Vurugu hizo za uchaguzi ikiwemo m [...]
Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Mtandao wa U.S. News & World Report unaojihusisha na maswala ya safari na utalii umetaja maeneo 20 muhimu kwa watalii kutembelea Afrika 2025 ambap [...]
1 5 6 7 8 9 165 70 / 1643 POSTS
error: Content is protected !!