Tag: habari za kimataifa

1 5 6 7 8 9 164 70 / 1634 POSTS
Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Mtandao wa U.S. News & World Report unaojihusisha na maswala ya safari na utalii umetaja maeneo 20 muhimu kwa watalii kutembelea Afrika 2025 ambap [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,548 kwa vigezo mbalimbali ambapo 22 kati yao wanaachiliwa huru tarehe 9 Disemba, 2024 na 1,526 [...]
SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa wananchi wa Namibia kukumbatia amani na umoja kabla [...]
Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza eneo la biashara ambalo ghorofa lilianguka Novemba 16, Kariakoo Dar es Salaam, lifungwe na kusiwe na biashara yoyote [...]
Rais Samia: Kwaheri King Kikii

Rais Samia: Kwaheri King Kikii

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, wasanii pamoja na wapenzi wa muziki kufuatia kifo cha mwanamuziki [...]
Rais Samia kushiriki Mkutano wa G20 Brazil

Rais Samia kushiriki Mkutano wa G20 Brazil

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Brazil kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama [...]
BoT: Uchumi hautoathirikia noti zikiondolewa

BoT: Uchumi hautoathirikia noti zikiondolewa

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema uamuzi wa kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za Shilingi ya Tanzania zilizoidhinishwa kutumika na benki hiyo m [...]
Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo tarehe 29 Oktoba 2024, anatarajia kuondoka nchini kuelekea Des Moines, nchini Mar [...]
Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linamshikilia Derick Junior (36) Mkazi wa Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujeruhi n [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
1 5 6 7 8 9 164 70 / 1634 POSTS
error: Content is protected !!