Tag: habari za kimataifa
Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo
Serikali imesema Watanzania milioni 31.2 sawa na asilimia 94.8 ya lengo wamejitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa [...]
Zaidi ya wananchi 18,000 kunufaika na mradi wa maji Bukoba
WANANCHI zaidi ya 18000 wa kata sita za Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera waliokuwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu wanatarajia kunufaika na mradi w [...]
Rais Samia ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma kwa kishindo
Rais Samia Suluhu Hassan amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku sita mkoani Ruvuma na kuhutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano katika Uwa [...]
Rais Samia awapatia gari wanafunzi wa Shule ya Samia Namtumbo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekubali ombi la kuwapatia gari la shule wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Ha [...]
Rais Samia: Tunatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu amesema serikali yake anayoiongoza inatekeleza kwa vitendo maagizo yote yaliyomo katik [...]
Orodha ya majina ya viongozi wa Chadema na wananchi waliokamatwa
Jeshi la Polisi limetoa orodha ya majina ya watuhumiwa waliokamatwa kwa kosa la kwenda kinyume na katazo la kufanya maandano.
[...]
Tanzania kuongeza usafirishaji wa gesi asilia kwa nchi jirani
Tanzania inasonga mbele na mipango ya kupanua usafirishaji wa gesi asilia kwa nchi jirani, zikiwemo Uganda, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (D [...]
Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA
Jeshi la Polisi limepiga marufuku na kutoa onyo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kuji [...]
Uhusiano wa Tanzania na China ni endelevu
Rais Samia Suluhu amekutana na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Bei [...]
Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa mafanikio yake makubwa kat [...]