Tag: habari za kimataifa

1 7 8 9 10 11 171 90 / 1706 POSTS
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka

Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]
TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025

TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 (Julai 2024 - Juni 2025 ) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilion [...]
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza

Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza

Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza kati ya Dar Es Salaam na Dodoma. Treni hiyo yenye jumla ya mabehewa 10 imebeba mizig [...]
Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia

Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 hadi 2024/2025 jumla ya zahanati 1,158 zimejengwa na kusajiliwa na zinatoa huduma. Naibu Waziri, Ofisi [...]
Serikali yawarejesha watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel

Serikali yawarejesha watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewarejesha salama nchini Watanzania 42 waliokuwa wakiishi Israel na Iran kufuatia mvutano wa kijeshi una [...]
Siku 7 za kazi Kanda ya Ziwa: Mama aacha alama kwenye maisha ya wananchi

Siku 7 za kazi Kanda ya Ziwa: Mama aacha alama kwenye maisha ya wananchi

Ziara ya siku saba (Juni 15 - Juni 21, 2025) ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya Simiyu na Mwanza imebadili maisha ya wananchi wa m [...]
CADFUND yaahidi kuendelea kuipa Tanzania kipaumbele

CADFUND yaahidi kuendelea kuipa Tanzania kipaumbele

Mfuko wa Ushirikiano wa Maendeleo Kati ya China na Afrika (China-Africa Development Fund) umeahidi kuendelea kuipa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kip [...]
1 7 8 9 10 11 171 90 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!