Tag: juma jux
Rais Samia ataja fursa za uhusiano na Finland
TANZANIA na Finland wamekubaliana kuimarisha biashara baina yao.
Rais Samia Suluhu Hassan alisema hayo Ikulu, Dar es Salaam jana baada ya kuzungumz [...]
Yanga SC kuendelea na msimamo wao wa kutoshiriki mchezo namba 184 dhidi ya Simba SC
Klabu ya Yanga Sc imesema itaendelea na msimamo wake wa kutoshiriki mchezo namba 184 kwa kile kinachodaiwa kutoridhika na uamuzi wa Mahakama ya Kimata [...]
Tamko la Pamoja Laweka Msingi wa Ushirikiano Mpya wa Kilimo kati ya Tanzania na Malawi
Tanzania na Malawi zimefikia makubaliano muhimu ya kurejesha na kuimarisha ushirikiano wa kibiashara baada ya kikao cha kihistoria cha mawaziri kutoka [...]
Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi wa picha mjongeao (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandano ya kijamii ya Aprili 20, 2 [...]
Rais Samia awasihi wawekezaji kulipa kodi na tozo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Kiwanda cha Chokaa na Saruji- Maweni Limestone mkoani Tanga na kuzung [...]
Rais Samia Suluhu kuongoza Mkutano wa kujadili mgogoro wa DRC
Dar es Salaam – Rais wa Kenya, William Ruto, amethibitisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, P [...]
Rais Samia: Poleni wananchi Kariakoo
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam, Jeshi la Polisi, Zimamoto na Hospitali ya Muhimbili sambamba na menejime [...]
BoT: Uchumi hautoathirikia noti zikiondolewa
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema uamuzi wa kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za Shilingi ya Tanzania zilizoidhinishwa kutumika na benki hiyo m [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]