Tag: nafasi za kazi
Rais Samia: Tusikubali kugawanywa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kuweka mbele maslahi ya taifa na kukataa migawanyiko ya kisia [...]
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]
Rais Samia kufanya ziara China Septemba 02 hadi 06, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Jamhuri ya Watu wa China kuanzia leo tareh [...]
Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa mafanikio yake makubwa kat [...]
Jeshi la Polisi labaini mpango wa CHADEMA wa kuvamia vituo vya polisi
Kufuatia tamko la Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) wanas [...]
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU
Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy Mkunguni-Kizimkazi, hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa [...]
Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini
Uwekezaji bandarini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, umeanza kuonyesha matunda makubwa baada ya serikali ya Tanzania kuokoa kiasi cha dol [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox
Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa
Jeshi la Polisi limewaachia mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na viongozi wao wakuu baada ya kuwakamata ndani ya [...]