Tag: nafasi za kazi

1 2 3 4 5 6 80 40 / 800 POSTS
Rais Samia: Tusikubali kugawanywa

Rais Samia: Tusikubali kugawanywa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kuweka mbele maslahi ya taifa na kukataa migawanyiko ya kisia [...]
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana

Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]
Rais Samia kufanya ziara China Septemba 02 hadi 06, 2024

Rais Samia kufanya ziara China Septemba 02 hadi 06, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Jamhuri ya Watu wa China kuanzia leo tareh [...]
Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika

Rais Samia: JWTZ ni Jeshi la Ulinzi na kioo cha amani Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa mafanikio yake makubwa kat [...]
Jeshi la Polisi labaini mpango wa CHADEMA wa kuvamia vituo vya polisi

Jeshi la Polisi labaini mpango wa CHADEMA wa kuvamia vituo vya polisi

Kufuatia tamko la Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwa hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) wanas [...]
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa

Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa

Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy Mkunguni-Kizimkazi, hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa [...]
Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini

Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini

Uwekezaji bandarini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, umeanza kuonyesha matunda makubwa baada ya serikali ya Tanzania kuokoa kiasi cha dol [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Jeshi la Polisi limewaachia mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na viongozi wao wakuu baada ya kuwakamata ndani ya [...]
1 2 3 4 5 6 80 40 / 800 POSTS
error: Content is protected !!