Tag: nafasi za kazi

1 3 4 5 6 7 81 50 / 804 POSTS
Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa

Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa

Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy Mkunguni-Kizimkazi, hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa [...]
Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini

Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini

Uwekezaji bandarini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, umeanza kuonyesha matunda makubwa baada ya serikali ya Tanzania kuokoa kiasi cha dol [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Mamia ya wafuasi wa Chadema na viongozi wao waachiwa

Jeshi la Polisi limewaachia mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na viongozi wao wakuu baada ya kuwakamata ndani ya [...]
Rais Samia: Maafisa ugani ni mashujaa

Rais Samia: Maafisa ugani ni mashujaa

Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kutambua na kupongeza juhudi za maafisa ugani na maafisa ushirika katika kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo nc [...]
Mwendokasi Gerezani- Mbagala kuanza Novemba mwaka huu

Mwendokasi Gerezani- Mbagala kuanza Novemba mwaka huu

Huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi katika njia ya Gerezani hadi Mbagala, jijini Dar es Saalam, unatarajiwa kuanza Novemba [...]
Rais Samia azindua Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ahimiza ushirikiano na sekta binafsi

Rais Samia azindua Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ahimiza ushirikiano na sekta binafsi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kutekeleza ahadi zake kwa vitendo baada ya kuzindua Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kilichopo mkoani [...]
Rais Samia azindua Daraja la Berega, aahidi kuboresha miundombinu na kuimarisha uchumi wa wananchi

Rais Samia azindua Daraja la Berega, aahidi kuboresha miundombinu na kuimarisha uchumi wa wananchi

Mkoani Morogoro, Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro kwa kuzindua Daraja la Berega, mradi ambao unatajwa kuwa na mch [...]
Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza orodha nyingine ya Mawaziri wapya 10. Kwenye Orodha hiyo, Ruto amechagua mpaka mawaziri kutoka vyama vya Upinza [...]
Ruto: Ford Foundation iache kufadhili vurugu Kenya

Ruto: Ford Foundation iache kufadhili vurugu Kenya

Rais wa Kenya, William Ruto, ameikosoa vikali taasisi ya Ford Foundation kwa madai ya kufadhili vurugu nchini humo. Akizungumza mbele ya umma, Ruto al [...]
1 3 4 5 6 7 81 50 / 804 POSTS
error: Content is protected !!