Tag: Tozo
Tanesco yakumbusha ulipaji wa madeni ya kabla na baada
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada ili kuboresha huduma ya umeme iweze kuwa na ufanis [...]
Waziri Kombo aisisitiza Kampuni ya Hunan ER-Kang kuongeza uzalishaji wa dawa nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameisisitiza kampuni ya Hunan ER-Kang ya nchini Chin [...]
Wabunge wampongeza Rais Samia kwa ubunifu na mageuzi katika Sekta ya Utalii
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu ali [...]
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu [...]
Rais Samia awasihi wawekezaji kulipa kodi na tozo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Kiwanda cha Chokaa na Saruji- Maweni Limestone mkoani Tanga na kuzung [...]
Rais Samia azindua jengo la Halmashauri Bumbuli
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli mkoani Tanga lililogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3,2.
J [...]
Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka Jiwe la msingi la ujenzi wa Bwawa la Mkomazi pamoja na kushuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya [...]
Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabid Kombo (Mb.), tarehe 21 Februari, 2025 jijini Budapest, Hungary, a [...]

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU
Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC
Dar es Salaam, 8 Februari 2025 – Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekubaliana juu ya h [...]

