Tag: Tozo
Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya
Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kupokea The Gates Goalkeepers Award, tuzo inayotolewa na Bill & Melinda Gates F [...]
UN yahofia kundi la waasi M23 kuingia Bukavu
UMOJA wa Mataifa umeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ripoti zinazoonyesha kuwa kundi la waasi la M23 linapiga hatua kuelekea Kusini mwa Jamhuri ya Kidem [...]
Wafanyabiashara wakimbilia fursa SGR
BAADHI ya wafanyabiashara wamejitokeza kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutaka wawe wanasafirishiwa mizigo yao kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma waka [...]
Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile
Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo alipokuwa [...]
Rais Samia aongeza muda wa uokoaji Kariakoo
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongeza saa 24 za uokoaji katika jengo lililoporomoka eneo la Kariakoo Novemba 16, m [...]
Rais Samia: Poleni wananchi Kariakoo
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam, Jeshi la Polisi, Zimamoto na Hospitali ya Muhimbili sambamba na menejime [...]
Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linamshikilia Derick Junior (36) Mkazi wa Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujeruhi n [...]
Rais Samia awataka Watanzania kusimama imara na kuungana
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana na kukemea vitendo vya mauaji vinavyotokea nchini ili kukomesha matukio hayo badala [...]
Fahamu dalili za Mpox na jinsi unavyoambukizwa
Mpox (ambayo zamani ilijulikana kama monkeypox) ni ugonjwa nadra lakini unaweza kuwa na madhara makubwa unaosababishwa na virusi vya Mpox. Maambukizi [...]
Changamoto za Teknolojia Mpya: Kutoka Beijing-Shanghai hadi SGR ya Tanzania
Katika ulimwengu wa usafiri wa kisasa, treni za mwendokasi zimekuwa alama ya maendeleo ya teknolojia. Hata hivyo, tukio la kukatika kwa umeme kwenye r [...]

