Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

HomeKitaifa

Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.

Amemteua Angellah Jasmine Kairuki kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia amemteua kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

 

error: Content is protected !!