Author: Cynthia Chacha

1 102 103 104 105 106 245 1040 / 2443 POSTS
Trilioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Trilioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kw [...]
Serikali kuajiri walimu 42,697 mwaka 2022-23

Serikali kuajiri walimu 42,697 mwaka 2022-23

Huenda uhaba wa walimu wa masomo ya Sayansi na Hesabu ukapungua nchini Tanzania na kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo mara baada ya Serik [...]
Magazeti ya leo septemba 24,2022

Magazeti ya leo septemba 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Septemba 24,2022. [...]
Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka sababu ya moshi wa kupikia

Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka sababu ya moshi wa kupikia

Wastani wa Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka, kutokana na moshi wa kupikia. Waziri wa Nishati January Makamba alisema hayo jana jijini Dodoma, [...]
Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia Suluhu amewataka Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini Msumbiji kutumia fursa ya ushirikiano wa nchi hizo mbili kuwekeza kwa faid [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala)  wamepatikan [...]
Magazeti ya leo Septemba 23,2022

Magazeti ya leo Septemba 23,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Septemba 23,2022. [...]
Morrison alimwa faini

Morrison alimwa faini

Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
Wizara yalaani watalii wakiume kuvishana pete Zanzibar

Wizara yalaani watalii wakiume kuvishana pete Zanzibar

Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kupitia Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar imelaani kitendo cha Watalii wawili wa jinsi moja (wanaume) kuvalishana pete [...]
1 102 103 104 105 106 245 1040 / 2443 POSTS
error: Content is protected !!