Author: Cynthia Chacha

1 18 19 20 21 22 255 200 / 2545 POSTS
Ushindi wa Rais Mpya Mwanamke wa Namibia: Ishara Mpya ya Kuinuka kwa Viongozi Wanawake Afrika

Ushindi wa Rais Mpya Mwanamke wa Namibia: Ishara Mpya ya Kuinuka kwa Viongozi Wanawake Afrika

Tarehe 4 Desemba 2024, historia mpya imeandikwa nchini Namibia baada ya Netumbo Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, kushinda nafasi ya urais na k [...]
Rais Samia: Kwaheri Dkt. Ndugulile

Rais Samia: Kwaheri Dkt. Ndugulile

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi [...]
Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ataunda Tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masua [...]
Ufafanuzi kupotea kwa Abdul Nondo

Ufafanuzi kupotea kwa Abdul Nondo

JESHI la Polisi limefafanua kuwa linaendelea na ufuatiliaji wa tukio la kupotea kwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul No [...]
Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo alipokuwa [...]
Rais Samia: Maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe

Rais Samia: Maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe

Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuheshimiwa kwa maamuzi ya wapiga kura akieleza kwamba demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima na ms [...]
SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa wananchi wa Namibia kukumbatia amani na umoja kabla [...]
Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imewaonya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za M [...]
Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza eneo la biashara ambalo ghorofa lilianguka Novemba 16, Kariakoo Dar es Salaam, lifungwe na kusiwe na biashara yoyote [...]
Rais Samia aziomba nchi tajiri kuisaidia Afrika kukabili njaa

Rais Samia aziomba nchi tajiri kuisaidia Afrika kukabili njaa

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa mataifa tajiri kuongeza ufadhili wa masharti nafuu kwa Afrika ili kusaidia kumaliza tatizo la n [...]
1 18 19 20 21 22 255 200 / 2545 POSTS
error: Content is protected !!