Author: Cynthia Chacha

1 27 28 29 30 31 267 290 / 2663 POSTS
Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kupokea The Gates Goalkeepers Award, tuzo inayotolewa na Bill & Melinda Gates F [...]
Mahakama itachochea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050

Mahakama itachochea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango katika kuiwezesha nchi kufikia malengo ya maendeleo kama yalivyobainishwa kwe [...]
Sera ya Elimu na Mafunzo kutengeneza jamii yenye vijana watakaoweza kujiajiri na kukuza uchumi

Sera ya Elimu na Mafunzo kutengeneza jamii yenye vijana watakaoweza kujiajiri na kukuza uchumi

Serikali ya Tanzania imezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 toleo la mwaka 2023 itakayochochea mabadiliko katika mifumo ya elimu nchini yata [...]
UN yahofia kundi la waasi M23 kuingia Bukavu

UN yahofia kundi la waasi M23 kuingia Bukavu

UMOJA wa Mataifa umeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ripoti zinazoonyesha kuwa kundi la waasi la M23 linapiga hatua kuelekea Kusini mwa Jamhuri ya Kidem [...]
Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika. Pia, AfDB imesifu juhud [...]
Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Liberia, Mhe. Joseph Boakai ni miongoni mwa marais wa Afrika 19 ambao wameshawasili jijini Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Wakuu [...]
Afrika imepiga hatua baada ya uhuru

Afrika imepiga hatua baada ya uhuru

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema baada ya kupata uhuru mwaka 1960, Nchi za Afrika zimepiga hatua kubwa katika kuzalisha [...]
Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Gambia, Mhe. Muhammad Jallow amewasili jijini Dar es Salaam ambapo anamwakilisha Mheshimiwa Rais Adama Barrow katika Mkut [...]
Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa Thulisile Dladla, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Niger, Mheshimiwa Ali Mahaman Lamine Zeine, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
1 27 28 29 30 31 267 290 / 2663 POSTS
error: Content is protected !!