Author: Cynthia Chacha
Jumuiya ya wakala wa forodha yampongeza Rais Samia kuruhusu uwekezaji wa DP World
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakala wa Forodha Zanzibar na Mjumbe wa JWT, Omary Hussein, amesema mkataba ambao Rais Samia ameusaini ni wa kufungua milango [...]

Rasmi DP World kuendesha sehemu ya bandari ya Dar kwa miaka 30
Tanzania imesaini mikataba mitatu na kampuni ya DP World ya Dubai ya kukodi na kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30, miezi minne [...]
Rais Samia mgeni rasmi miaka 59 ya uhuru Zambia
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru wa Jamhuri ya Zambia zinazotarajiwa kufanyika [...]
Rais Samia : vyuo vya ufundi kujengwa kila wilaya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejidhatiti katika kuhakikisha kwamba wilaya nchini kuna chuo [...]
Rais Samia: Viongozi simameni imara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi wa mkoa wa Singida kuhakikisha wanasimama imara katika uteke [...]
Mfumo wa uteuzi wa mabalozi kutazamwa upya
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itautizama upya na kubadili mfumo wa sasa wa uteuzi wa mabalozi, ili kurejesha hadhi, umahiri na [...]
Idadi ya watalii Tanzania yazidi kupaa
Idadi ya watalii walioingia Tanzania imeongezeka kwa asilimia 25.7 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja huku nchi za Amerika na Ufaransa zikiingiza idadi [...]
Rais Samia anavyo-trend India
Kwenye mtandao maarufu wa Google nchini India, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekuwa mtu wa pili kwa habari zake kutafutwa sana kuliko mambo [...]
Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025
Tanzania inalenga kuongeza uwekezaji kutoka India ambaye ni mshiriki wake mkubwa katika biashara.
Inatarajia uwekezaji kutoka India kupanda hadi do [...]
Rais Samia kutunukiwa shahada ya heshima kwa kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India
Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru leo kinamtuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, shahada ya heshima. Rais yupo kwenye ziara ya siku nne nchini Ind [...]