Author: Cynthia Chacha

1 29 30 31 32 33 247 310 / 2462 POSTS
Rais Samia akatisha safari yake

Rais Samia akatisha safari yake

Rais Samia Suluhu Hassan amelazimika kufupisha ziara yake ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) unaofanyika Dubai na kurej [...]
Serikali yapeleka dawa na vifaatiba Hanang

Serikali yapeleka dawa na vifaatiba Hanang

Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imefikisha msaada wa dawa na vifaatiba kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang katika Hospitali ya [...]
Sherehe za Uhuru kufanyika kimkoa

Sherehe za Uhuru kufanyika kimkoa

RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza maadhimisho ya sherehe za uhuru (9 Disemba) yafanyike Kitaifa kwa kuzindua mchakato na kuandikwa kwa Dira ya Maendel [...]
Maboresho miundombinu ya viwanja vya ndege ni endelevu

Maboresho miundombinu ya viwanja vya ndege ni endelevu

Serikali imesema itaendelea kujenga na kupanua miundombinu ya viwanja vya ndege ili kujihakikishia utoaji wa huduma ndani ya nchi na nchi jirani. K [...]
Nauli mpya za daladala

Nauli mpya za daladala

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri ardhini (LATRA) imetagaza viwango vipya vya bei ya nauli za daladala na mabasi ya mikoani huku nauli ya wanafunzi ikibakia [...]
Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Benki ya Standard Chartered Kenya imepunguza kiasi kikubwa cha hisa zake katika dhamana za serikali ya Kenya kwa 52% baada ya kupata hasara ya uwekeza [...]
Maagizo matatu ya Rais Samia kwa viongozi wa michezo nchini

Maagizo matatu ya Rais Samia kwa viongozi wa michezo nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa viongozi wa michezo nchini kuhakikisha wanaiendesha vyema sek [...]
Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Kenya Commercial Bank (KCB) imeripotiwa kupungua kwa shughuli zake nchini Kenya na ukuaji imara ukishuhudiwa katika matawi yake ya nchi nyingine ndani [...]
Rais Samia: Lengo la BBT ni kupunguza umaskini na kutunza mazingira

Rais Samia: Lengo la BBT ni kupunguza umaskini na kutunza mazingira

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema lengo la Programu ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) ni kupunguza umaskini [...]
Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wamekubaliana kutoa nafasi za ufadhili wa masomo kwa wanafu [...]
1 29 30 31 32 33 247 310 / 2462 POSTS
error: Content is protected !!