Author: Cynthia Chacha

1 29 30 31 32 33 244 310 / 2431 POSTS
Rais wa India afurahishwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu

Rais wa India afurahishwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu

Rais wa India, Smt Droupadi Murmu, alimpokea Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Rashtrapati Bhavan leo (Ok [...]
Rais Samia : ziara hii itakuza zaidi uhusiano wetu na India

Rais Samia : ziara hii itakuza zaidi uhusiano wetu na India

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alianza ziara ya siku nne nchini India Jumapili, Oktoba 8, yenye lengo la kukuza uhusian [...]
Rais Samia awasili India kwa ziara ya kiserikali

Rais Samia awasili India kwa ziara ya kiserikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili New Delhi kwa ziara ya Kiserikali ya siku nne nchini India leo tareh [...]
Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anajiandaa kwa ziara ya kihistoria ya kiserikali nchini India kuanzia Oktoba 8 hadi 11, [...]
Ziara ya Rais Samia India itakavyodumisha, kuimarisha na kuendeleza uhusiano

Ziara ya Rais Samia India itakavyodumisha, kuimarisha na kuendeleza uhusiano

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa January Makamba amesema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia [...]
Kardinali Rugambwa: Watanzania dumisheni upendo na umoja kwa wote

Kardinali Rugambwa: Watanzania dumisheni upendo na umoja kwa wote

Kardinali Protase Rugambwa amewataka Watanzani wawe tayari kujenga na kudumisha utamaduni wa upendo na mshikamano na watu wengine hata ambao si Watanz [...]
Mambo matatu yakufanya unapopitia simu ya mpenzi wako

Mambo matatu yakufanya unapopitia simu ya mpenzi wako

Kupitia simu ya mweza wako bila wao kujua ni makos, lakini mara nyingine inaweza kuwa na umuhimu. Ikiwa unapata hisia ya mambo kutokwenda sawa na h [...]
Maonesho ya mboga na matunda Doha kunufaisha wakulima nchini

Maonesho ya mboga na matunda Doha kunufaisha wakulima nchini

Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Mboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) ikiwa ni utekele [...]
Waziri aagiza kitengo cha huduma kwa wateja kuimarishwa

Waziri aagiza kitengo cha huduma kwa wateja kuimarishwa

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Ndege la Air Tanzania kuimarisha utoaji wa taarifa kwa wateja wao ili kuepusha sintofah [...]
TPDC: Visima vya gesi asilia havijakauka

TPDC: Visima vya gesi asilia havijakauka

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini ndugu Mussa Makame amefanya ziara yake Mkoani Mtwara na kutembelea kitalu cha Gesi asili [...]
1 29 30 31 32 33 244 310 / 2431 POSTS
error: Content is protected !!