Author: Cynthia Chacha
Rais Samia aagiza kuanzishwa kwa tovuti za kumbukumbu za viongozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa kwa tovuti ya Serikali ya kuhifadhi kumbukumbu za viongozi walio [...]
UBIA WA TWIGA WAONESHA ATHARI CHANYA ZA KIMAGEUZI ZA UCHIMBAJI MADINI, YASEMA BARRICK
Kampuni ya Dhahabu ya Barrick (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) na serikali ya Tanzania zimedhihirisha jinsi uchimbaji madini unavyoweza kuwa na manufaa makubwa p [...]
Matukio ya wavamiaji katika mgodi wa Barrick North Mara
Tarehe 21 Septemba mwaka huu kulitokea tukio ambapo wavamiaji takribani 100 kwa njia isiyo halali walivamia eneo la mgodi wakati wa mvua kubwa.
Mak [...]
Rais Samia ampa miezi sita Mkurugenzi mpya wa Tanesco
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempa miezi sita bosi mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukomesha mgao wa umeme unaoendelea kuathiri s [...]
Rais Samia hajavunja katiba kumwongezea Prof. Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu
Na Faustine Kapama-Mahakama
Uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kumuongezea muda Prof. Ibrahim Hamis Juma kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania hauvunji Kat [...]
Waziri Mchengerwa amsimamisha kazi Mkurugenzi Busega
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega [...]
Tazama hapa Video 10 za Tanzania zinazo-trend YouTube leo Septemba 20, 2023
Hizi hapa nyimbo zinazotikisa katika mtandao wa Youtube na chati mbalimbali hapa Tanzania. Usikubali kupitwa na ngoma hizi mpya tazama kupitia hapa ;
[...]
Rais Samia: Wawekezaji mali zenu zipo salama
Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi usalama wa mali zao na hivyo wasisite kuja kuwekeza Tanzania.
Amesema ha [...]
Rais Samia azindua kiwanda cha nne kwa ukubwa Afrika
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha kuzalisha vioo kilichopo katika wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani kinachotarajiwa kutoa ajira [...]
Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo
Rais Samia Suluhu amegawa boti 34 kati ya 160 zilizonunuliwa na Serikali kwa wavuvi na wakulima wa mwani ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa [...]