Author: Cynthia Chacha
Elimu ya msingi mwisho darasa la sita
Taasisi ya Elimu Tanzania imetoa mtaala wa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi la sita 2023.
Muundo wa mtaala huo umebadilika na sasa eli [...]
Nape: Hakuna aliyekamatwa kwa kukosoa mkataba wa bandari
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Balozi Mstaafu Dkt. Willibrod Slaa, Mpa [...]
Ufahamu uhaini, moja ya tishio kubwa zaidi la amani kwa nchi yoyote duniani
Agosti 10 mwaka huu Wakili Boniface Anyisile Mwabukusi alisimama nje ya Mahakama Jijini Mbeya na kusema kwamba anapinga uamuzi wa mahakama kutupilia m [...]
Rais Samia atimiza ahadi ya kuwapa TLS kiwanja
Novemba 24,2022 akifungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wansheria Afrika Mashariki jijini Arusha, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Su [...]
MAHAKAMA: Mkataba wa uwekezaji bandarini ni halali
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamua kwamba mkataba wa uwekezaji (IGA) kwenye Bandari za Tanzania ulioingiwa baina ya Serikali ya Tan [...]
Hii hapa hukumu kesi ya bandari
Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya yabariki mkataba uwekezaji bandari kuwa ni halali imesema malalamiko yaliyowasilishwa hayana mashiko.
& [...]
MAHAKAMA : Mamlalamiko ya bandari hayana mashiko
Mahakama Kuu nchini Tanzania hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa inapinga mkataba (IGA) wa uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na f [...]
Bei ya mafuta Zanzibar yapaa kwa 10%
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Majina Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza ongezeko la bei ya mafuta ya petroli kwa asilimia 10 visiwani Zanzibar kuto [...]
Abu Dhabi kuikopesha Tanzania mkopo wa bilioni 69.9 ujenzi wa njia ya kusafirishia umeme
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), na Mwenyeji wake, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi, Umoja wa Falme za Kiarabu (Abu [...]
Tumieni maziwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji
Rais Samia Suluhu Hassan ameziagiza wizara zinazohusika na kilimo na uvivu kufanya mchakato wa kuvuta maji kutoka kwenye maziwa yaliyopo nchini ili ya [...]