Author: Cynthia Chacha
Rais Samia: Shirika kama halifanyi vizuri liondoke
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa mashirika ya umma yasiyofanya kazi kwa tija hayana budi kufutwa. Akizungumz [...]
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU
Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Rais Samia :Tamasha la Kizimkazi linachochea maendeleo na kudumisha mila
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongeza juhudi za Tamasha la Kizimkazi katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii pamoja na kudumisha mi [...]
Rais Samia: Michezo ni ajira na biashara kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy Mkunguni-Kizimkazi, hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa [...]
Wanaompatia Maria Sarungi hela kuleta vurugu wafahamika
Tanzania imejulikana kama nchi yenye amani tangu ilipopata uhuru, na haijawahi kukumbwa na machafuko makubwa ya kitaifa. Ingawa kumekuwa na matukio ma [...]
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) umekuwa na mvutono mkubwa kitaifa na kimataifa.
Ili kuelewa hali ya sasa, ni [...]
Rais Samia: Tamasha la Kizimkazi ni chachu ya maendeleo kwa wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Tamasha la Kizimkazi limeendelea kujipambanua kuwa tamasha la kimaendeleo k [...]
Serikali yaokoa trilioni 1.5 chini ya uongozi wa Rais Samia miezi minne ya kazi DP World bandarini
Uwekezaji bandarini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, umeanza kuonyesha matunda makubwa baada ya serikali ya Tanzania kuokoa kiasi cha dol [...]
DP World Yabadilisha Uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam
Dar Es Salaam– Tangu DP World ilipoanzishwa kubadilisha uendeshaji wa bandari ya Dar Es Salaam, tunafurahi kutangaza kuboreshwa kwa ufanisi wa bandari [...]
Rais Samia: Nendeni mkajiongeze na kuviishi viapo vyenu
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi aliowateua hivi karibuni kwenda kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi na kuishi kwa kufuata viapo wal [...]

