Author: Cynthia Chacha
Korea kuikopesha Tanzania Sh 6.5 trilioni
Tanzania imesaini tamko la pamoja la kuanzisha Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi (EPA) na Jamhuri ya Korea utakaoiwezesha kupata mkopo wa Sh6.5 trilion [...]
Rais Samia aanza ziara ya siku saba nchini Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya siku saba katika Jamhuri ya Korea Kusini na leo anatarajiwa ku [...]
Rais Samia kuongoza Mkutano wa SADC Agosti, 2024
Kuanzia mwezi Agosti, 2024 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi n [...]
Sh. bilioni 241 kutekeleza vipaumbele vya Wizara ya Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametaja vipaumbele vitano vya wizara hiyo katika Mwaka wa Fedha 2024/25.
[...]
Dkt. Kikwete kinara utafutaji fedha za kuimarisha elimu Afrika
Rais Mstaafu Dk Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Ben [...]
Baraza la amani na usalama limesaidia kukabiliana na ugaidi Afrika
Rais Samia Suluhu hassan amesema Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika(AU) limezisaidia nchi za Afrika kujilinda dhidi ya matishio ya kiusalam [...]
Tanzania ya kwanza Afrika, ya tano duniani kwa ongezeko la watalii
Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa (UN) kupitia takwimu zake za robo ya kwanza ya mwaka 2024 katika Ripoti yake ya World Tourism Barometer imeitaja [...]
Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza
Na Ngabero Nyangwine, Mara Tanzania
1. Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi y [...]
Rais Samia atajwa kama kiongozi bora na hodari Afrika
Rais wa @AfDB_Group Mhe. @akin_adesina amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia vyema mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia Afrika. [...]
Rais Samia anadi matumizi ya nishati safi ya kupikia Ufaransa
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza kwenye kuhakikisha suluhisho linapatikana ili kuwezesha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na nafuu barani Af [...]

