Category: Kitaifa

1 9 10 11 12 13 199 110 / 1981 POSTS
Wabunge wampongeza Rais Samia kwa ubunifu na mageuzi katika Sekta ya Utalii

Wabunge wampongeza Rais Samia kwa ubunifu na mageuzi katika Sekta ya Utalii

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu ali [...]
Rais Samia atahadharisha wanaharakati wa kigeni kuacha kuingilia masuala ya nchi

Rais Samia atahadharisha wanaharakati wa kigeni kuacha kuingilia masuala ya nchi

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wanaharakati wa kigeni wanaodaiwa kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania, akisema kuwa ikiwa wamewekewa vikwa [...]
Idadi ya watalii yaoongezeka na kupita lengo la Ilani ya CCM ya Mwaka 2020

Idadi ya watalii yaoongezeka na kupita lengo la Ilani ya CCM ya Mwaka 2020

Idadi ya watalii wanaozuru Tanzania imeongezeka kwa kiasi kikubwa na tayari imepita lengo la Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020. Mafanik [...]
Mwenge watembelea miradi ya elimu na nishati Tunduru

Mwenge watembelea miradi ya elimu na nishati Tunduru

Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, umetembelea mradi wa nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Tunduru, unaogharimu zai [...]
Laini za simu 47,728 zafungiwa kwa uhalifu, ulaghai mtandaoni

Laini za simu 47,728 zafungiwa kwa uhalifu, ulaghai mtandaoni

Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imebaini kuzifungia laini za simu 47,728 na Nambari za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) 39,028 zi [...]
Mgonjwa aliyedumu na tezi dume kwa miaka miwili afanyiwa upasuaji na Kambi ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia

Mgonjwa aliyedumu na tezi dume kwa miaka miwili afanyiwa upasuaji na Kambi ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia

Kambi ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia imefanikiwa kutatua changamoto ya ugonjwa wa tezi dume kwa Bw. Athuman Rashid (78), mkazi wa wilaya ya Pangani [...]
Serikali kutumia shilingi bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni 260,000

Serikali kutumia shilingi bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni 260,000

Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya 260,000 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaa [...]
Rais wa Findland awashukuru Watanzania kwa ukarimu

Rais wa Findland awashukuru Watanzania kwa ukarimu

Rais wa Finland, Alexander Stubb, ametoa shukrani zake za dhati kwa Watanzania kutokana na ukarimu waliouonyesha wakati wa ziara yake ya kitaifa ya si [...]
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Bandari ya Dar es Salaam Waongeza Ufanisi na Mapato

Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Bandari ya Dar es Salaam Waongeza Ufanisi na Mapato

Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam umeonyesha mafanikio makubwa, na kuleta mabadiliko chanya katika uchumi [...]
Wananchi wa Mbagala kuondokana adha ya kukatika umeme

Wananchi wa Mbagala kuondokana adha ya kukatika umeme

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange amesema wananchi wa maeneo ya Mbagala na viunga vyake sasa wanatarajia kupat [...]
1 9 10 11 12 13 199 110 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!