Category: Kitaifa
Bandari ya Dar es Salaam yaongoza Afrika Mashariki kwa ufanisi katika viwango vya kimataifa
Bandari ya Dar es Salaam imeibuka kuwa bandari yenye ufanisi mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki baada ya kupiga hatua kubwa katika Kielezo cha Kimat [...]

Rais Samia awahimiza Watanzania kujenga tamaduni za kupima afya mara kwa mara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza Watanzania kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kugundua [...]
Fahamu baa 13 Dar zilizofungiwa kufanya shughuli zake
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imezifungia baa 13 kuendelea na shughuli zake hadi itakapoamuliwa vinginevyo, kwa kukikiuka masharti ya Sheria ya [...]
Serikali yatangaza miradi sita mikubwa ya barabara kwa ubia na sekta binafsi
Serikali imefungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya miundombinu kwa kutangaza miradi mikubwa ya barabara itakayotekelezwa kupitia ubia kati ya [...]
Serikali ya Tanzania yakanusha kuuza dhahabu
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijawahi kuuza dhahabu iliyohifadhiwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akieleza kuwa lengo la u [...]
Tanzania yashika nafasi ya kwanza Afrika kwa idadi kubwa ya Simba na Nyati
Kulingana na matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Juni 17, 2026, Tanzania inaongoza bar [...]
Kiwanda cha chuma kujengwa Dodoma
Serikali imetangaza kupatikana kwa wawekezaji wataotekeleza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha chuma chenye thamani ya zaidi ya sh600 bilioni eneo la Nal [...]
Maandalizi ya Ujenzi wa Bwawa la Farkwa yashika kasi
Serikali ipo katika hatua za awali za ujenzi wa bwawa la Farkwa, mkoani Dodoma.
Wizara ya Maji kupitia Programu ya Uhimilivu dhidi ya Mabadiliko ya [...]
Ujenzi wa Daraja la Jangwani wafikia asilimia 34
Serikali inaendelea na ujenzi wa Daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam, mradi unaolenga kutatua tatizo la muda mrefu la mafuriko ambalo limekuwa lik [...]
Sh bilioni 200 zatengwa kwa ajili ya vijana
Serikali imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya utekelezaji wa Programu ya Kitaifa ya Uwezeshaji Vijana Kiuchumi, hatua inayolenga kuongeza fursa za aji [...]

