Category: Kitaifa

4R isiwe kisingizio kuvunja sheria
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutotumia falsafa ya 4R (Maridhiano, Mageuzi, Ustahimilivu na Kujenga Upya) kama kisingizio cha kuvunja [...]
Rais Samia aidhinisha shilingi bilioni 30 kukarabati barabara zilizoathiriwa na mvua
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ukarabati wa barabara muhimu za maeneo mbali [...]
Sekta ya madini yafikia lengo la mchango wake kwenye Pato la Taifa
Serikali imesema mchango wa sekta ya madini katika pato la taifa umefikia asilimia 10.1.
Taarifa hiyo imetolewa jana Dodoma na Waziri wa Madini, An [...]
Gwajima- sakata la mabinti wa chuo Mwijaku kuhojiwa na polisi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dr. Doroth Gwajima ametoa taarifa kwa umma kufuatia tukio la udhalilishaji wa binti [...]
Umri wa kuishi kwa wanawake Tanzania umeongezeka hadi miaka 70
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS) imeripoti kuwa wastani wa umri wa kuishi kwa mwanamke wa Kitanzania anayezaliwa mwaka 2025 umeongezeka ha [...]
Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi wa picha mjongeao (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandano ya kijamii ya Aprili 20, 2 [...]
Serikali yalipa zaidi ya shilingi bilioni 47 kwa watumishi walioondolewa kwa kughushi vyeti
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizoandikwa na Gazeti la Rada tarehe 14 Aprili 2025, [...]
Rais Samia Suluhu kuwa mgeni rasmi katika tuzo za ‘Samia Kalamu’ Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za ‘Samia Kalamu’ zitak [...]
CHADEMA kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi mwaka huu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ndugu John Mnyika ameufahamisha umma kwamba hatohudhuria na hatoshiriki kwenye kikao cha leo [...]

Tume, Serikali na Vyama vya Siasa kusaini maadili ya uchaguzi
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotu [...]

