Category: Kitaifa

1 21 22 23 24 25 190 230 / 1898 POSTS
Miaka mitatu bila Magufuli, kazi inaendelea

Miaka mitatu bila Magufuli, kazi inaendelea

Leo Rais Samia Suluhu Hassan anatimiza miaka mitatu madarakani akiwa kama Rais wa Tanzania baada ya kifo cha Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. Jo [...]
Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu

Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wakuu wa mikoa nchini kutatua changamoto za wananchi, ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na kuongeza ukusanyaji wa ma [...]
Ukarabati wa barabara katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakamilika

Ukarabati wa barabara katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakamilika

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) limesema limekamilisha ukarabati wa awali wa barabara na maeneo yalioathiriwa na mvua za El Nino katika [...]
Rais Samia aeleza maana ya kauli yake ya aliyesimama hapa ni Rais mwenye maumbile ya kike

Rais Samia aeleza maana ya kauli yake ya aliyesimama hapa ni Rais mwenye maumbile ya kike

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kauli yake aliyosema siku ya kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa rais wa awam [...]
“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka familia ya hayati Ali Hassan Mwinyi kuendelea kuheshimiana na kushikamana na kwamba hawatafurahi kuona familia hiyo [...]
Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu

Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu

Rais wa Timu ya mpira wa miguu ya Yanga SC , Eng. Hersi Said amesema mafanikio katika sekta ya michezo hasa mpira wa kiguu nchini yametokana na mchang [...]
Mpango: Tanzania inakopesheka

Mpango: Tanzania inakopesheka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amesema taasisi na mashirika makubwa duniani yameitaja Tanzania kama [...]
Serikali kuhakikisha kila kijiji kina shule

Serikali kuhakikisha kila kijiji kina shule

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imekusudia kujenga shule kwenye kila kijiji na vitongoji vikubwa ili kuhakikisha watoto wote wanapata fur [...]
SGR yaanza majaribio leo Dar hadi Morogoro

SGR yaanza majaribio leo Dar hadi Morogoro

Shirika la Reli Tanzania (TRC) leo February 26,2024 limeanza safari yake ya kwanza rasmi ya majaribio ya treni ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Mkoani [...]
Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Mapato yanayotokana na utalii yamezidi kuongezeka kutoka Dola za Kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2021 hadi kuvunja rekodi na kufikia Dola za Kimarekani b [...]
1 21 22 23 24 25 190 230 / 1898 POSTS
error: Content is protected !!